Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Sasa mtu anakwenda na gari ya serikali, na plate number inaonyesha kabisa ni gai ya nani? Huyo anatakiwa akipona aende hata short courses CUBA....Dodoma kunaonekana wanawake wako tayari na Chupi Mkononi....na wanaunme zipu zimeshavunguliwa.....
Ila mwanamke kwenda kumfumania mumeo sio kabsaa ------ hahaaaaa
 
Magari yote ta serikali yawekewe Gps kuokoa magari haya na udharimu wa baadhi viongozi kuyatumia isivyo.
 
[emoji848][emoji848][emoji848]
20230428_145638.jpg
 
Back
Top Bottom