Ila mwanamke kwenda kumfumania mumeo sio kabsaa ------ hahaaaaaSasa mtu anakwenda na gari ya serikali, na plate number inaonyesha kabisa ni gai ya nani? Huyo anatakiwa akipona aende hata short courses CUBA....Dodoma kunaonekana wanawake wako tayari na Chupi Mkononi....na wanaunme zipu zimeshavunguliwa.....
basi wakati wa ibada ya mazishi asimangwe kwa nini kafia uzinzini. Wahudhuriaji waonywe nao wasifie dhambiniKwa hiyo wanaokufa wakiwa wamelewa wasizikwe kidini?[emoji23][emoji23][emoji23] Au ndo kuna dhambi na dhambi..
acha tuHapo ukute alikuwa mke wa mtu, woooi
Plate namba zinafungwa tu nduguLikiwa na Plate namba T 000 ABQ wakati ni jipyaaaa
Yeap hata tamaa ni nature ya mwanadamu ilo zikizidi unaweza kuwa hata mwizi.Its NATURE hata umind vipi.
Na ufisadi piaNdio hiyo sababu huwapeleka na wengine kwenye siasa.
Kwenye misiba ya Kikristo wakati wa Ibada kila kitu kinakemewaa mkuu.. Ila ndo vile wanadamu mioyo yetu migumuu...!! Tunajisahaulisha sanaabasi wakati wa ibada ya mazishi asimangwe kwa nini kafia uzinzini. Wahudhuriaji waonywe nao wasifie dhambini
Huwa anasoma comment za watu?Uzuri Mhesimiwa Rais ako humu, amepata habari.
Kwa hiyo wew Hutakuja kuchepukaa..???[emoji23][emoji23] Haya Adam.Yeap hata tamaa ni nature ya mwanadamu ilo zikizidi unaweza kuwa hata mwizi.
Gentleman anaweza kujicontrol ila wavulana ndo wana tamaa.
Wajinga hao,uombee jitu linalojua mema na mabaya, jitu zima.Cheating is a choice jamani si bahati mbaya. Mtu unaemmudu hakuna cha kumwachia Mungu.Unaingia field mwenyewe.Wenzako eti wanasema angemuombea Tu, asingeenda kufumaniaπ€£π€£π€£
Joannah ππππraraa reree ππππhiii!
Madarasa kazaa yameenda kwa ajili umalaya[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 2602392
Wapo waislam wenye wake wanne na Bado Wana michepuko,Tena sio wa kuwafuta na tochi,wapo wengi tu.Kwangu mimi nailaumu imani yake, ndiyo inayomfunga na Imani yake,Waisilamu wameruhusiwa kuowa zaidi ya mke mmoja, lakini wakristo wamekatazwa na wazungu, ila wanamichepuko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mheshimiwa alikuwa tayari ashakata kiuno au bado wakati wife anavamia kambi?
Duniani hamna siri,watu wamepata adi final lokesheni ya viieiteeπ€£π€£π€£π€£[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 2602392