Gari za serikali bima za Nini wakati wananunua kila mwakaKaitia hasara serikali... dude lote ana liangusha na halina bima
Jamaa kaimaliza aisee[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 2602392
Kwa nguvu za supu ya pweza na vumbi la kongo? mmoja hamuwezi, nanga zinapaa, msijidai kwenye mitandao ya kijamii.Uzinzi hauna dini, Mfalme Selemani alikuwa na wake 300 na hakuacha kuchepuka, babake (mfalme Daudi) alikuwa na mke zaidi ya mmoja lkn bado akachepuka na mke wa mtumishi wake. Usihukumu au kusifu dini ya mtu kwa matendo ya waumini. Funguka!
Vv
Pombe.Ila kati ya wanaume waoga duniani Mh. Naibu Waziri naye ni mmoja wao; anaweza kushika rekodi ya juu sana. Ya nini umkimbie mtu tena mkeo kwa style ya kuhatarisha maisha namna hii, utafikiri amekuwa RADI?
Si mvuta bangi Adam Malima.Tena aliibiwa pesa za kigeni zaidi ya $1,000 na milioni kadhaa za madafu, na bunduki ikaibiwa.
Nakumbuka hiyo habari ilizimwa kimtindo na leo hii jamaa ni RC
Nilikuwa nae ndiyo,kwa sasa sina na sitaki tena.Una mme ?
USSR
Ndo maana dini ya haki inaipiga vita vikali lakini watu hawasikii vichwa ngumu. Matokeo yake ndo haya.Pombe.
Sasa hapa sijui kagonga mbuyu huko dodoma ama ni vipiKinyama sana
USSR
Aise.....Kwa nini mnadhani kila anayetenguliwa uwaziri au nafasi za juu hatapanda tena V8?? Pia mnahisi anaenda kuishi maisha magumu?
Dr.Dugange mbona ana V8 kabla ya uwaziri?
Uwezo wa kuendesha V8 anao, hata kupeleka Watoto feza anao pia. Dr.Dugange kabla ya ubunge alikua RMO
Ni Adam Malima RC Mwanza.Hii ilitokea awamu ya ngapi mkuu