Kazi na Bata !! Ukimuona na King’asti chake tazama pembeni !!
 
Toka maktaba :

23 December 2021
Bariadi, Tanzania

Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange, akistukia matumizi mabaya ya fedha za umma ..


Naibu Waziri wa TAMISEMI anayeshughulikia masuala ya afya, Festo Dugange, amebaini ubadhilifu wa fedha baada ya kufanya ziara ya kukagua ujenzi wa hospitali ya Bariadi vijijini, ambapo ametoa maagizo ya kufanyika kwa uchunguzi ili kubaini ni wapi fedha hizo zimekwenda.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…