FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Nimeiuliza Biblia, kwa hiyo unasema ni biblia "uchwara" ?Ulivyopotea humu nikajua upo chimbo unawauliza manabii uchwara wakupe kifungu cha kujitetea
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeiuliza Biblia, kwa hiyo unasema ni biblia "uchwara" ?Ulivyopotea humu nikajua upo chimbo unawauliza manabii uchwara wakupe kifungu cha kujitetea
USSR
😂😂Hope tuko tofauti na heshima yangu siwezi kufanya hivyo....Italeta image mbaya zaidi bora afanye mwingine..Kwa hiyo wew Hutakuja kuchepukaa..???[emoji23][emoji23] Haya Adam.
Kazi na Bata !! Ukimuona na King’asti chake tazama pembeni !!Amerika na ulaya kashfa za kimapenzi zinaweza kukuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa umma. Kule hakuna utetezi wa hayo ni mambo binafsi ya faragha. Tena wanaweza kufuatilia nyendo zako za kimapenzi hata kabla hujawa kiongozi uliishije na mahusiano hayo. Huku kwetu jitu lina michepuko isiyohesabika na watoto lukuku likigombea uongozi linapata na linaendelea na tabia yake ya kuchepuka
KWELI mkuu hata mimi naona maana wanachepuka hawana heshima kwenye jamii...😂😂Hope tuko tofauti na heshima yangu siwezi kufanya hivyo....Italeta image mbaya zaidi bora afanye mwingine..
kuchepuka😀. wazoefu huwa hawapaniki hivyoAnajifunza kuendesha hilo V8 au kumiliki Mchepuko😅
KWELI mkuu hata mimi naona maana wanachepuka hawana heshima kwenye jamii...
Huwa wanawindwa wale wanaowindika kirahisi ! Wasiowindika kirahisi hawawindwi !! 😅Na malaya wengi wanaenda huko dodoma kuwawinda waheshimiwa
Ova
Hii inaitwa kikwetu kwetu bruhIngekuwa America au ulaya sahv huyo hana kazi .....
Kibongo bongo atarudi,na mjengoni atakula makofi kupigiwa ya kumwagwa
Ova
Inaonekana kwenye ile seminar yao ya Arusha hawakupewa tips ya njia ya kukwepa misala ya aina hiikuchepuka😀. wazoefu huwa hawapaniki hivyo
Si ndio hapo sasaAcha tu. Pole zake Kwa ajali. Ila masihara ya Hawa vigogo yanatia hasira Kwa raia sana sana. Wako kama vijogoo vilivyo balehe juzi?!
Ninaishi pia Dodoma na Dar ki ukweli viongozi wetu pesa inawasumbua sana kwa sasa.ukiwa mtu wa Kitengo ukajifanya unawafatilia kesho utajibu kwa bosi wako,Keanu kwa sasa hakuna siri tena zaidi ya pesa pesa pesa pesa
Jinga kabisa, wanaume leo kikao wapi? maana mwenzetu katuangusha sanaHahahaha. Mcheki hapo chini anavyoelezea.
View attachment 2602482
Ujinga gani huu. Kumbe likitoka hapo laenda kumendea wake za watu kwa kutumia V8...Toka maktaba :
Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange, akistukia matumizi mabaya ya fedha za umma ..
View attachment 2602555
Du, kumbe yeye ndio anayeongoza juu ya matumizi mabaya ya fedha za umma.Toka maktaba :
Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange, akistukia matumizi mabaya ya fedha za umma ..
View attachment 2602555
Kule Twitter wanasema Ni mke wa MTU na wanaishi maeneo ya UDOM. inaweza kua Ni mwanafunzi wa chuo pia.Tunasubiria tupate picha ya huyo dada aliyevuta,lazima hakosi chura
Ova