Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Watanzania Sisi umbeya na kujazia jazia vichwa vya habari ndo ubunifu tuliobaki nao. Mbaya zaidi kupenda wengine yawakute mabaya.

Wewe mkuu umeandika habari ndefu, Sijui Ukiwa chumbani au ofisini kuhusu mawazo bila ushahidi wowote. Mbaya zaidi hata Basi kusema Nina ndugu UDOM amenipa za kwenye kapeti kuwa binti mbona Ana best yake namjua kasema mkuu alikuwa anapumzika. Hivi hii Tz na magroup ya umbeya , issue kama Hii asitoke mwanafunzi na kusema neno. Hawa watanzania?

Nimepitia comments Karibia zote , Hakuna hata mmoja aliyeleta data za chuoni. Lakini haraka kumuhukumu huyo Mheshimiwa.

LAKINI PIA. Je Shida kufumaniwa au possibility ya kuua mtu.
Wewe unasema umbea, sisi tunasema damu ya mja wa Mwenyezi Mungu inawalilia.
Sasa endeleeni kushupaza shingo.
 
Ila NW lazima ataliwa kichwa wanasubiri uji upoe utando ukae juu
Too late walitakiwa pale pale piga chini mtu mmoja asiharibu serikali lakini bahati mbaya sana Makamu wa Rais ambaye huwa anajionesha kanisani mtu wa Mungu na naamini hivyo na pia naamini anajuwa kilichotokea asingeenda Hosp kabisa bad PR angemuacha abebe msalaba wake mwenyewe. Ila kwa wanafunzi Dodoma mko kwenye hatari sana na hawa wanasiasa lakini mjifunze hamna thamani wala maisha yenu hayana thamani kuna funzo msiwe wepezi kurubuniwa na hawa wanasiasa Dodoma.
 
Huyo mke naye mjinga tu mwanamke gani hujui kama mumeo anachepuka na unaishi naye nyumba moja, unatoka barabarani kufukuzana na mumeo?
Suala la mke wake watajuana wenyewe ila sisi tunataka uwajibikaji na uwazi kwenye hili suala si kufichwa

Nusrat kafia wapi? Maana UDOM, polisi, daktari na mwenyekiti wa kijiji maelezo yanapishana. Jibu tunalo, ila tunataka serikali iwajibike kupitia vyombo vyake waliweke wazi kwa jamii
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Click to expand...
Suala la huyo binti watu wanatafutia kiki. Familia ya huyo msichana iko kimya lakini wanasiasa uchwara wanavalia njuga! Hivi nyie mna uchungu kuliko wazazi wake? Huyo msichana ameuawa? Kufa ni jambo la kawaida hata kama alikuwa mpenzi wa waziri kwani ni kosa wakati binti ni mtu mzima? Nyie ni mahawara wa huyo waziti hadi muwe na wivu,? Hata kama kafa kwa ajali kwani ameuawa makusudi?

Hili suala setikali haitakiwi hata kuwajibu wapuuzi hao waliofilisika kisiasa sasa wamebaki kuparamia kila tukio. Ingekuwa familia ya binti ndiyo inalalamika hapo imgekuwa sawa kufanya uchunguzi.
Kila mtu ana maisha yake binafsi bila kujali nafasi yake katika jamii.
 
hata mimi najiuliza, maana ajali ni kawaida, mwanafunzi wa chuo ni mkubwa (anafaa kuwa chakula), kabda kwenye kashfa ya fumanizi au kama kuna kingine zaidi ya hilo

ila kama tunakomaa sana kwa ajili ya fumanizi tu basi wabongo hatujitambui na tunapenda sana umbea
Haswaa! Watu wanakomalia hii ishu kiushabiki na wengi wanaegemea kuidhisha fumanizi badala ya ajali! Na hata kama alikua kwenye ajali au ni kweli alikua anatembea nae ndio iweje sasa
 
Suala la huyo binti watu wanatafutia kiki. Familia ya huyo msichana iko kimya lakini wanasiasa uchwara wanavalia njuga! Hivi nyie mna uchungu kuliko wazazi wake? Huyo msichana ameuawa? Kufa ni jambo la kawaida hata kama alikuwa mpenzi wa waziri kwani ni kosa wakati binti ni mtu mzima? Nyie ni mahawara wa huyo waziti hadi muwe na wivu,? Hata kama kafa kwa ajali kwani ameuawa makusudi?

Hili suala setikali haitakiwi hata kuwajibu wapuuzi hao waliofilisika kisiasa sasa wamebaki kuparamia kila tukio. Ingekuwa familia ya binti ndiyo inalalamika hapo imgekuwa sawa kufanya uchunguzi.
Kila mtu ana maisha yake binafsi bila kujali nafasi yake katika jamii.
Loh!
 
Watanzania Sisi umbeya na kujazia jazia vichwa vya habari ndo ubunifu tuliobaki nao. Mbaya zaidi kupenda wengine yawakute mabaya.

Wewe mkuu umeandika habari ndefu, Sijui Ukiwa chumbani au ofisini kuhusu mawazo bila ushahidi wowote. Mbaya zaidi hata Basi kusema Nina ndugu UDOM amenipa za kwenye kapeti kuwa binti mbona Ana best yake namjua kasema mkuu alikuwa anapumzika. Hivi hii Tz na magroup ya umbeya , issue kama Hii asitoke mwanafunzi na kusema neno. Hawa watanzania?

Nimepitia comments Karibia zote , Hakuna hata mmoja aliyeleta data za chuoni. Lakini haraka kumuhukumu huyo Mheshimiwa.

LAKINI PIA. Je Shida kufumaniwa au possibility ya kuua mtu.
Data za Chuo gani?!!!!!!!!😀😀😄
 
Suala la huyo binti watu wanatafutia kiki. Familia ya huyo msichana iko kimya lakini wanasiasa uchwara wanavalia njuga! Hivi nyie mna uchungu kuliko wazazi wake? Huyo msichana ameuawa? Kufa ni jambo la kawaida hata kama alikuwa mpenzi wa waziri kwani ni kosa wakati binti ni mtu mzima? Nyie ni mahawara wa huyo waziti hadi muwe na wivu,? Hata kama kafa kwa ajali kwani ameuawa makusudi?

Hili suala setikali haitakiwi hata kuwajibu wapuuzi hao waliofilisika kisiasa sasa wamebaki kuparamia kila tukio. Ingekuwa familia ya binti ndiyo inalalamika hapo imgekuwa sawa kufanya uchunguzi.
Kila mtu ana maisha yake binafsi bila kujali nafasi yake katika jamii.
Mkuu usijipe moyo kuwa ajali ni ajali, business as usual.
Kuna mambo ya msingi haoa.

Kwanza binti mdogo mwanafunzi karubuniwa kimapenzi na mtu ambaye ni kiongozi.
Kiongozi pia ana dhamana ya kulea jamii
Pili binti akaja fariki katika mazingira ambayo hayaekezeki.
Tatu usichukulie poa kwamba wazazi/ndugu wako kimya, utaja kumbuka , na nakuonya tu.
 
Mkuu usijipe moyo kuwa ajali ni ajali, business as usual.
Kuna mambo ya msingi haoa.

Kwanza binti mdogo mwanafunzi karubuniwa kimapenzi na mtu ambaye ni kiongozi.
Kiongozi pia ana dhamana ya kulea jamii
Pili binti akaja fariki katika mazingira ambayo hayaekezeki.
Tatu usichukulie poa kwamba wazazi/ndugu wako kimya, utaja kumbuka , na nakuonya tu.
Binti mdogo ana miaka chini ya 18?
ZInaa kati ya watu wawil waliokubaliana ni halali hata wewe hapo unazini.

Sio jukumu la kiongozi kulea jamii. Jukumu la kulea ni la wazazi na waalimu.

Eti karubuniwa! Hivi demarcation kati ya kurubuniwa na kukubali kwa hiyari kwq mtu mzima unaweza kuionyesha.

Waislamu wanapokuja na hoja tufanye zinaa kuwa kosa la jinai nyinyi ndio wa kwanza kupinga lakini hapa unashutumu.

Kama kulalamika angelalamika mke wa huyo waziri na siyo mtu mwingine.
 
Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.

2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo

3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.

4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.

5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.

6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.

7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.

8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.

9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.

KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.

Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.

Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.

Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Tanzania inatakiwa ipate kiongozi ambaye jukumu lake la kwanza ni kuibomoa sanamu inaitwa tissue..baada ya hapo Tanzania itakuwa nchi nzuri, sababu itapata viongozi wenye hofu ya Mungu na watu waliowachagua, sarakasi za aina hii hazitatokea!
 
Pamoja na hayo lakini.... Najiuliza.... hivi inakuwaje mwanaume anamuogopa mke kiasi hicho hadi kumkimbia na kupata ajali?
Kelele mkuu hawa wakina mama wamejaaliwa hiki kipaji,, chukulia mh. waziri anakuja kupigiwa kelele za kufumaniwa na mtoto wa shule.. lazima ukimbie kama chizi
 
Serikali mwacheni mzinzi abebe mzigo wake!! Kwa taarifa yake tu ni kwamba Yesu anasamehe dhambi na kuokoa!! Yesu alisema "Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa mizigo nami nitawapumzisaha-Math 11:28"
 
Back
Top Bottom