Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Alikuwa ndo anatengeneza mazingira GPS aka sumaku home ikanasa.Hivi mheshimiwa alikuwa tayari ashakata kiuno au bado wakati wife anavamia kambi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa ndo anatengeneza mazingira GPS aka sumaku home ikanasa.Hivi mheshimiwa alikuwa tayari ashakata kiuno au bado wakati wife anavamia kambi?
Msiwalaumu pia,maana wanawake huko dodoma wanawawinda pia+kuwawekea mitego....Wabunge wana mawazo ya kingono ngono, wakifa ni fresh tu japokua huyu hajafa.
Taxi yanini ya kilofa sisi tunavinjari na Mavieite ya 500m .Angeenda na Tax
Na malaya wengi wanaenda huko dodoma kuwawinda waheshimiwaDodoma asilimia ya wafanyakazi waliohamishiwa wameanzisha mahusiano wao kwa wao kwa kuwa familia zipo Dar basi wamejihalalishia kabisa.
Medical doctor akili sufuri aka masaburi.
Huyu dr mh waziri katuaibisha SanaIla kati ya wanaume waoga duniani Mh. Naibu Waziri naye ni mmoja wao; anaweza kushika rekodi ya juu sana. Ya nini umkimbie mtu tena mkeo kwa style ya kuhatarisha maisha namna hii, utafikiri amekuwa RADI?
Unaogopa vipi kufumaniwa na mke wako waziri bwege pole sana.
Mwanaume inakuwa mtihani sana kuishi bila kupunguza uzito.Ninaweza kuishi bila ngono bwana.Nyie hamuwezi kwani?
Hilo ni hakika, sababu huwa anapita na kucheka.Huwa anasoma comment za watu?
Pombe ni kwa waliopotea tu:Pombe kidogo inasaidia sema wewe hujui inaita eti ni mkojo wa shetani
USSR
Hahahaha. Mcheki hapo chini anavyoelezea.Medical doctor akili sufuri aka masaburi.
Anajifunza kuendesha hilo V8 au kumiliki Mchepuko😅anajifunza bado......😀😀
Unakimbiaje kwako kama siyo ujinga ni nini?weee hujui tu, labda jamaa anambamanda wakiwa room home. sasa alivyoona kakutwa live ikabidi atoke nduki. na asingekuwa na gari pengine angetoka spidi mpaka mguu ungevunjika. all in all 40 ilifika.
Ulivyopotea humu nikajua upo chimbo unawauliza manabii uchwara wakupe kifungu cha kujiteteaPombe ni kwa waliopotea tu:
Mithali MLANGO 31
Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.
2 Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?
3 Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.
4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.
Unakimbiaje kwako kama siyo ujinga ni nini?
Ingekuwa America au ulaya sahv huyo hana kazi .....Amerika na ulaya kashfa za kimapenzi zinaweza kukuondolea sifa ya kuwa kiongozi wa umma. Kule hakuna utetezi wa hayo ni mambo binafsi ya faragha. Tena wanaweza kufuatilia nyendo zako za kimapenzi hata kabla hujawa kiongozi uliishije na mahusiano hayo. Huku kwetu jitu lina michepuko isiyohesabika na watoto lukuku likigombea uongozi linapata na linaendelea na tabia yake ya kuchepuka