Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena sawa. Katika hili, Serikali inajipaka matope kama yanenwayo ni kweli. Sioni sababu ya kuficha mazingira na sababu za matukio yote mawili. By the way, zama zimebadilika sana kwani wote wawili wana ndugu marafiki na maadaui,hivyo ni vigumu kuzuia taarifaSerikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.
2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo
3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.
5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.
6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.
7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.
8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.
9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, maana mazingira ya tukio yana shabihiana.
Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.
Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.
Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Hivi mpaka leo kuna asiejua kuwa yule naibu waziri alikuwa na huyo binti? 🤣 Wanadhani wanamdanganya nani labda yani? Viongozi dodoma, wamekuwa mstari wa mbele kurubuni mabinti kwa hela ambazo ni kodi za watanzania. Uzinzi Dodoma mjini, asilimia 95 ni waserikali na wanasiasa.Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.
2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo
3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.
5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.
6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.
7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.
8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.
9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.
Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.
Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.
Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Hiyo ni ajali na siyo mauaji ya maksudi!! Unataka kusemaje, kwamba ajali haiwezi kuua?Hili suala mwenye akili hajiulizi mara mbili. Lkn kama ulivyosema Wanyiramba sio wajinga litakufa jitu. Waulize familia ya Ditopile kilichotokea baada ya figisu za aina hii kufuatia kumchapa risasi yule dereva mtukutu.
Kwan n mnyiramba sio mchagaHili suala mwenye akili hajiulizi mara mbili. Lkn kama ulivyosema Wanyiramba sio wajinga litakufa jitu. Waulize familia ya Ditopile kilichotokea baada ya figisu za aina hii kufuatia kumchapa risasi yule dereva mtukutu.
Karma, heri kukubali usamehewe na ydishe.Hili suala mwenye akili hajiulizi mara mbili. Lkn kama ulivyosema Wanyiramba sio wajinga litakufa jitu. Waulize familia ya Ditopile kilichotokea baada ya figisu za aina hii kufuatia kumchapa risasi yule dereva mtukutu.
Polisi wamekanusha kwa kusema sio yeye, sasa tuendelee kuamini tu kuwa naibu waziri alikuwa peke yake ndani ya gari 😁
Lazima Iwe ivyo kulinda protokaliPolisi wamekanusha kwa kusema sio yeye, sasa tuendelee kuamini tu kuwa naibu waziri alikuwa peke yake ndani ya gari [emoji16]
At least polisi wameanza ku tread csrefully maana suala inaelekea lita blow up in their face na kuwa complicit to bury the case.Lying is just taking advantage of present time(s), situation and circumstances to hide the truth, yet it is risk in the future when those circumstances, time and situation have changed or no longer exist.
Ikiwa kweli kifo chake kilitokana na ajili maarufu ya April 2023, na watu wanaficha hizo taarifa utangundua kuwa wananchi wanafichwa mengi na watu wapo tayari kuficha uovu ili kulinda heshima ya mtu mmoja aliyeamua kujiaibisha.Duh! Ila kwenye hili ishu ni nini haswa! Mtu kufa kwenye ajali!!? Fumanizi!!? Kumjua aliekufa kwenye ajali!!? Kupotea/kifo cha mwanafunzi wa chuo!!? Au ni nini
Na tukisha yajua hayo yanatusaidia nini kimsingi tukiwa kama wananchiView attachment 2612299
"Wamuharibie mama"?Serikali msijaribu kulificha suala la ajali ya Waziri Dugange, maana kama ilivyo KARMA itaondoka na vichwa vya watu.
Mwanzo kabisa zilitokea tetesi:
1. Naibu waziri apata ajali akiwa na gari la serikali akikimbizwa kufumaniwa na mke. Mpenziwe afariki kutokana na ajali hiyo.
2. Tetesi hizo zilikanushwa na Polisi, na kukanusha kuwa hakuna aliyefariki ajali hiyo
3.Makamu wa Rais alimtembelea Naibu Waziri hospitali.
4.Mpenzi wa Naibu Waziri bado hakujulikana, bodoboda waliofika eneo la ajali waliona maiti ya mwanamke.
5.Tunapata habari mwanafunzi Nusra Hassan ati kafia Moshi kilimanjaro kwa kipigo cha mpenzi wake.
Jina la mpenzi wake halijulikani.
6. Hospitali huko Himo Moshi, inakanusha kumpokea Nusra hospitalini hapo.
7. Taarifa mkanganyiko za kifo cha Nusrat Hassan toka chuoni kwake UDOM, zinakubali kutokea kifo lakini hazielezi mazingira wala sababu za kifo, wala kama wameripoti polisi.
8. Polisi kama kawaida inafuatilia tu taarifa za mitandao, haikiri kama kuna RB imefunguliwa na mtu yeyote.
9. Ndugu wa Marehemu Nusra isivyo kawaida hawajajitokeza hadharani kudai taarifa sahihi za kifo cha ndugu yao.
KUTOKANA na mlolongo huo ni dhahiri sasa mtu mwenye akili atagundua kuwa mwanamke aliyekuwa na Dugange si ajabu ni huyo Nusra, hatuna uhakika huo, lakini mazingira ya tukio yana shabihiana.
Hivyo basi, POLISI na Dugange , mumwogope Mungu.
Kubalini na muwe wakweli kwa yaliyotokea ili ukweli ukidhihirika wananchi watakuwa wepesi kusamehe.
Lakini mkipandikiza uongo juu ya uongo mbingu na nchi hazitawasamehe.
Mbaya zaidi mnamharibia Mama Samia, hatutaki kurudi kule tulikotoka, kuficha ukweli.
Na huu ndio ukweli wenyewe. Yanayofichwa wananchi wasiyajue ni makubwa zaidi ya hii aibu inayomhusu mtu mmoja.Ikiwa kweli kifo chake kilitokana na ajili maarufu ya April 2023, na watu wanaficha hizo taarifa utangundua kuwa wananchi wanafichwa mengi na watu wapo tayari kuficha uovu ili kulinda heshima ya mtu mmoja aliyeamua kujiaibisha.
Hao waandishi wa uchunguziInvestigative journalism inapaswa kufanywa kuutambua ukweli
Kuna mtu soon ataangushiwaMpenzi wake nusrat popote alipo ajiandae kuubeba huu msala jamani tuwe makini na hawa viumbe
Imani yangu ni kuwa Mama yetu mpendwa Samia hatakubali ujinga wa kuficha ukweli kuhusu hiki kifo.Ni kweli kifo Cha huyu Binti kina walakini ndani yake ambao wanajitahidi kuuficha. Watanzania sio wajinga to this extent.