Kwa hiyo ulitaka nicopy/paste yote ulioandika[emoji1][emoji1]. Aya yangu ya mwisho nimeandika " Wajibu wa raia ni kutii sheria pekee na si vinginevyo" Siwezi kumtii raisi anaeniambia niue bali nitatii sheria inayoniambia nisiue.Wewe ndio umesoma na kuona shule na jeshi tuu kwenye bandiko langu, kama Mimi nilivyoona Aya yako ya Mwisho.
Mtaka ana taka maamuzi ya chini yafanyike na kuamukiwa huko chini, Kama Ni katanibau wilayani maana mdio wanaojijua mazingira yao na sio maamuzi yafanywe na Serikali kuu. Loud and Clear. Yuko sawa. Ndio maana tunataka katiba mp
Umemsikiliza RC lakini? Nini maana ya wazazi na waalimu wakubaliane?
Ye Mtaka anataka watoto wasome hadi saa ngapi?
Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?
Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?
Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Kama hajiheshimu? ukijiheshimu utaheshimiwa hakuna namna, apandacho mtu ndiyo avunacho.Vijana acheni mihemko nyie, jengeni hoja! Matusi yanaonesha udhaifu ulionao. Prof Ndalichako ni sawa na mama yako
Dingi mazingira yanabadilikaZamani tukisoma kujifunza haikua Darasani tuu .nakumbuka ata kurudi nyumbani saa nane unapumzika for an hour.. baadae unafanya shughuli za home(kujijenga for future independent life ) kama kufua na kupika au kusafisha nyumba na mazingira, and then saa 11 unaenda kucheza for an hour na by 18:00hrs unakua home kubond na ndugu au wazazi kama wapo... asubuhi ukienda shule unakua fresh na brain inakuwa tayari kupokea mafundisho mapya...Na zamani wazazi hawakuwa wanakupressurize ili UWE a As Student..kama uko average wanakuelewa na wanaanza kukusukia mipango na mbinu zitakazokutoa maishani...siku hizi wazazi wanadhani watoto wao wote ni geniuses...as a result tuna wasomi wengi ambao hawana KAZI na hawakujengwa kimbinu kupambana..SASA isije watu wanadhani kusoma Sana au Kwa muda mrefu ndio solution...la hasha...we use to say SOMA SANA CHEZA SANA.
Mmmmm mkuu H uyu naye kachemkaMataka awaasa wananchi wampuuze Waziri wa Elimu kuhusu mambo ya elimu Kwenye mkoa wa Dodoma.
Mataka amesema wampuuze Waziri ambaye watoto wake wanasoma international school.
Sikiliza audio hapo.
Mama Ndali umezoea kuwaonea wakuu wa taasisi za elimu halafu system inakuangalia tu.
View attachment 1851200
Ndalichako ni Waziri wa kawaida sana. Tokea aingie Wizarani ni kufitinisha tu wenzake.
Wakuu wa taasisi wanamkoma huyu Mama. Wakuu wa idara Wizarani wanaipata habari yake.
Ndalichako badilika Mama Samia yupo tofauti na mwendazake.
Hakuna thamani uliyoongeza hapo Wizarani zaidi ya kufitinisha wakurugenzi na mamlaka za uteuzi.
Tabia ya kuwafitinisha wenzako waondolewe kwenye uteuzi acha mara 1.
Ndalichako alishindwa Baraza la Mitihani kwa ubishi wake ilikuwaje apewe Wizara.
Mama Samia tuondolee huyu Ndali
View attachment 1851425
Hata Mtaka anajua madhara ya kauli zake lakini jamaa huyo yuko vizuri upstairs sina shaka nae hata akitolewa leo iko siku ataibukia Bungeni.Sijui kama atabaki salama. Nahisi kitaota nyasi soon akaungane Chalamila
Exactly...siku hizi waweza ata kuchukua ujuzi na elimu Kwa Msaada wa Google...sio lazima kurundikana kwenye majengo hafifu mnayoyaita madarasa the all day...ukikaa kwenye box muda murefu akili inakua inactive... inabidi utoke nje ya box..Dingi mazingira yanabadilika
Yeye wa kwake yupo shule za kata?In Africa it's dangerous to be right when your master is wrong RC Mtaka kasimama na wananchi na katupa jiwe gizani huu ndo ukweli ambao wananchi wengi wanapiga kelele viongozi pelekeni watoto wenu shule za kata
Nakataa, Mtaka huo usmart hana na hajawahi kuwa nao.Hata Mtaka anajua madhara ya kauli zake lakini jamaa huyo yuko vizuri upstairs sina shaka nae hata akitolewa leo iko siku ataibukia Bungeni.
Mtaka ni mtu flani anayependa kutumia akili zake sio za chama, aliweza kuishi zama za Magufuli bila shida bila kukomoa watu kama ilivyokuwa kwa wakuu wa mikoa wengine.
Jamaa ni smart i believe, hata akitolewa sawa ila ukweli ameusema nasisi tutajua ukweli wake ndo umemgharim
OkeyExactly...siku hizi waweza ata kuchukua ujuzi na elimu Kwa Msaada wa Google...sio lazima kurundikana kwenye majengo hafifu mnayoyaita madarasa the all day...ukikaa kwenye box muda murefu akili inakua inactive... inabidi utoke nje ya box..
You are very wrong.Mtaka Hana adabu kabisa. Nigelikuwa Samia I would have fired him immediately. Angelitafuta forum ya staha kusema aliyoyasema na si kubwatuka mbele za wazazi kumdhalilisha mteule mwenzake. Mtu anaweza kugeneralise kuwa the gov is disunited in it's dealings Amesema màneno ya kishenzi akiwa part of the government machinery.
Hafai kukalia ofisi ya umma.
Nimeogopa huu ujasiriMtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka