Ngoja na wewe tukuone hapo kisarawe utafanya Nini!Mtaka ukae ukijua ipo siku ya kwako yatajulikana, wale influencers unaowalipa mtandaoni kukusifia utawalipa hadi lini?
Mtaka ni kiongozi wa hovyo sana ambae anatumia kuchangia na kulipa watu wenye ushawishi mtandaoni ili wamsifie huku yeye akiendelea kupiga madili. Ipo siku mama Samia atakumulika, muda utasema
Wote ni wateuzi wa raisMtaka yupo sahihi kuhusu Kambi zake. Lakini approach ya kumjibu waziri, yaani mteule wa rais hivi kuna mushkeli kidogo. Labda yupo undercover ili kumexpose waziri kurahisisha uamuzi wa mamlaka
Naheshimu maoni yako ila tambua maana ya ugatuzi ni pamoja na utii na kuziishi kanuni na miongozoJiwe aliwaharibu sana vichwa vyenu... Mtaka yupo sahihi..
Buku4 pesa halali si mbayavijana katika ubora wao wa buku 4
Usimdanganye Mama Samia achague kati ya watoto wa masikini, na watoto wa Viongozi kama Waziri Ndalichako.Waziri hajatoa agizo kwa feelings zake, ipo miongozo ya elimu. Badala ya kushambulia mtu angejikita kwenye mabadiliko kisera na nafasi hiyo anayo. Lakini pia anaweza kuwasiliana na waziri au hata Rais kwa marekebisho kama ana hoja.
Kwanini amdhalilishe waziri? Unajua matokeo ya kauli zake ikiachwa namna hii bila kuwajibika?
Nimesema wewe unajua vyema, Mbowe hata kama akiongea jambo hadharani akakosea kuna mtu pale ufipa anaweza kutoka hadharani kumkosoa akabaki salama? Uongozi una miiko yake lakini tukienda hivi mawaziri wataachia wakuu wa mikoa wafanye wanalotaka.
Mama Samia anapaswa kunyoosha rula. Huu ni utomvu wa nidhamu anapaswa kuchukua hatua ili viongozi waheshimiane otherwise tutasikia mengine na mwisho serikali kuwa dhaifu.
Utii hata kwa fyongo utii wa woga wewe hufai hata ukatibu kata huwezi kuhuji?Naheshimu maoni yako ila tambua maana ya ugatuzi ni pamoja na utii na kuziishi kanuni na miongozo
Mikoa gani mkuu? Nchi hii kuna shule kweli? Au kukariri makaratasi?Kwani kipi kaongea kubaya hapo tatizo ccm mnataka watoto wa wenzenu waendelee kuwa mbumbu angalia mikoa ya watu walio pita pita shule huwezi kuta Wana ushabiki wa kijinga kwa ccm na hicho hicho ndicho hamkitaki ninyi
Kwa mtizamo wangu naona hata kama RC Mtaka alikuwa na nia nzuri ya anachokiwakilisha lakini njia aliyoitumia sio sahihi kabisa. Hata kama Mtaka anajiona bora kutokana na sifa anazopata toka akiwa RC Simiyu sidhani kama ndio iwe tiketi ya yeye kubwata kiasi kile halafu eti anamchambua waziri hadharani vile hata kama huyo waziri ana mapungufu kiasi gani. Wote ni wateule wa raisi sasa vipi yeye Mtaka amshushie heshima mwenzake mbele za watu kiasi kile. Tena badala ya kuishia kumpinga waziri kwa hoja tu na hoja yake ilikuwa na mashiko kiasi fulani yeye akahamia kwenye mambo binafsi sijui gari yenye bendera, kiyoyozi, mara International school, sijui kupeleka watoto kusoma Ulaya. Na mbaya zaidi kumchonganisha hadharani waziri na wanafunzi, walimu na wazazi.
Mtaka hakupaswa kutafuta sifa kwa kumdhalilisha mwenzake ambaye wanajenga nyumba moja. Alipaswa kuwasilisha mpango kazi wake ambao unapingana na sera wizarani kwa Ndalichako angepigwa dana dana angeenda nao kwa waziri mkuu moja kwa moja na waziri mkuu akishindwa angeenda nao kwa mamlaka ya uteuzi wake yaani raisi. Kwa mihemuko ile aliyoonyesha Mtaka kwa Ndalichako nadhani kuna jambo baya kati yao linaendelea inabidi mamlaka ya uteuzi wao iingilie kati ikiwezekana mmojawapo apigwe chini kama sio wote wawili. Siku zote ogopa sana mtu anayetaka aonekane yeye ni bora kwa kutumia njia ya kuwadhalilisha/kwashushia hadhi wenzake.
Kwa kifupi alichafonya Mtaka ni udhalilishaji kama udhalilishaji mwingine wowote. Aliposema mpuuzeni huyo waziri nisikilizeni mimi maana yake Mtaka alikuwa anamaanisha nini kwa huyo waziri ambaye anasema asisikilizwe?
Una upepo mfu na infant wa kutupwa kabisa, think think. Poor Tanzania huna akili kabisa achana na ushabiki na mihemkoUtii hata kwa fyongo utii wa woga wewe hufai hata ukatibu kata huwezi kuhuji?
Miongozo ya Elimu?Waziri hajatoa agizo kwa feelings zake, ipo miongozo ya elimu. Badala ya kushambulia mtu angejikita kwenye mabadiliko kisera na nafasi hiyo anayo. Lakini pia anaweza kuwasiliana na waziri au hata Rais kwa marekebisho kama ana hoja.
Kwanini amdhalilishe waziri? Unajua matokeo ya kauli zake ikiachwa namna hii bila kuwajibika?
Nimesema wewe unajua vyema, Mbowe hata kama akiongea jambo hadharani akakosea kuna mtu pale ufipa anaweza kutoka hadharani kumkosoa akabaki salama? Uongozi una miiko yake lakini tukienda hivi mawaziri wataachia wakuu wa mikoa wafanye wanalotaka.
Mama Samia anapaswa kunyoosha rula. Huu ni utomvu wa nidhamu anapaswa kuchukua hatua ili viongozi waheshimiane otherwise tutasikia mengine na mwisho serikali kuwa dhaifu.
Kwa mtizamo wangu naona hata kama RC Mtaka alikuwa na nia nzuri ya anachokiwakilisha lakini njia aliyoitumia sio sahihi kabisa. Hata kama Mtaka anajiona bora kutokana na sifa anazopata toka akiwa RC Simiyu sidhani kama ndio iwe tiketi ya yeye kubwata kiasi kile halafu eti anamchambua waziri hadharani vile hata kama huyo waziri ana mapungufu kiasi gani. Wote ni wateule wa raisi sasa vipi yeye Mtaka amshushie heshima mwenzake mbele za watu kiasi kile. Tena badala ya kuishia kumpinga waziri kwa hoja tu na hoja yake ilikuwa na mashiko kiasi fulani yeye akahamia kwenye mambo binafsi sijui gari yenye bendera, kiyoyozi, mara International school, sijui kupeleka watoto kusoma Ulaya. Na mbaya zaidi kumchonganisha hadharani waziri na wanafunzi, walimu na wazazi.
Mtaka hakupaswa kutafuta sifa kwa kumdhalilisha mwenzake ambaye wanajenga nyumba moja. Alipaswa kuwasilisha mpango kazi wake ambao unapingana na sera wizarani kwa Ndalichako angepigwa dana dana angeenda nao kwa waziri mkuu moja kwa moja na waziri mkuu akishindwa angeenda nao kwa mamlaka ya uteuzi wake yaani raisi. Kwa mihemuko ile aliyoonyesha Mtaka kwa Ndalichako nadhani kuna jambo baya kati yao linaendelea inabidi mamlaka ya uteuzi wao iingilie kati ikiwezekana mmojawapo apigwe chini kama sio wote wawili. Siku zote ogopa sana mtu anayetaka aonekane yeye ni bora kwa kutumia njia ya kuwadhalilisha/kwashushia hadhi wenzake.
Kwa kifupi alichafonya Mtaka ni udhalilishaji kama udhalilishaji mwingine wowote. Aliposema mpuuzeni huyo waziri nisikilizeni mimi maana yake Mtaka alikuwa anamaanisha nini kwa huyo waziri ambaye anasema asisikilizwe?
Mkuu wa mkoa wa Songea hoyeee!!Swala la Elimu yetu kufanywa kama mpira wa danadana na kila mmoja kuwa anachezea, ni makosa makubwa sana, mwongozo wa pamoja uko wapi?
Napingana na huyo mkuu wa mkoa wenu pendwa, Inakuweje awe na mpango wa kivyake vyake?
Mkuu wa mkoa wa Songea naye awe na matakwa yake, na wa mikoa mingine, tutakuwa taifa la aina gani?
Mtaka tumemsifia sana sasa kalewa sifa! Anajiona very exceptional
Tena Ndali arudishe na hela alizochezea kutengeneza mavitabu ya historia ya chato.mtaka yuko sahihi 100 percent kabsa waziri wa elimu ni hovyo. kama Yule fedha huu ni usawa wa ukweli n.a. uwazi.
Naona tunashabilikia udicteta type of rule. Wizara ingeconsult watu wa chini through their staffs in Councils and RC s office ili kupata uhalisia ulivyo chini. Sio kutoa tu amri bila kupata mambo yalivyo chini. Rc yeye na team yake walishajipanga kuondoa zero kwenye mkoa wao wewe unaleta amri ya kusitisha masomo saa tisa alasiri.Una upepo mfu na infant wa kutupwa kabisa, think think. Poor Tanzania huna akili kabisa achana na ushabiki na mihemko