DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

So suka angekanyaga mafuta kwenda wapi kwa mfano?
Arudi rivas to Bungeni?Akanyage mafuta kwenda home au aanza kuzunguka nao wakora?

May Allah bless Me and You
Umesoma nilichoandika au umekimbilia kujibu tu. Dereva amegundua anafuatiliwa akaamua kwenda nyumbani. Wewe unafuatiliwa nyuma na usiowajua utaenda nyumbani? Ukiingia ndani ndio dead end hio huna cha kujitetea. Kuna sehemu nyingi za kwenda zaidi ya nyumbani tena unaendesha one of the very powerful cars on the market.
 
Thames Valley ni Reading, Birkshire inakwenda mpaka London, England, huo ni mto.... Hiyo Chopa imefikaje tz in at max 4 hrs... [HASHTAG]#ihatefakenews[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muhimbili ni rahisi kummaliza maana motive yao asiende marekani kule alikoalikwa. But as far as God is concerned He will protect him because as from now the angels are surrounding him

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo alipopatiwa first aid hospitali ya rufaa Dodoma walishindwa kummalizia hapo na hawakujua kama angejeruhiwa first step angepelekwa hapo?
 
Kifo hakikimbiwi ila kwa wasiokuwa na imani. Maadam kila kiumbe kiko mbioni kufa na anaekufa sio atakaekufa bali ambae hajafa basi wanaoua wengine wanajiua wenyewe kwa mikono yao.
 
Lakini mkuu kwa mujibu wa Lisu on Agost 18 alisema anafatiliwa na alisema Sirro na Mkuu wa TISS wawaambie hao watu waachane nae wafanye yenye maana.Nadhan video ipo hapa.
Sasa kwa leo (kwa mtazamo wangu) hawakuwa na shaka maana Lissu alishasema anafatiliwa na alijua ni same to siku za nyuma.


May Allah bless Me and You
 
Wamuondoe kabisa hapa bongo na hata wale watu watakaojaribu kutaka kumuona au kusafiri nae waangaliwe sana....
Awekewe ulinzi wa hali ya juu na makamanda....
Lakini mwenyekiti wake anaweza husika maana jamaa alikua anaunyemelea *UENYEKITI* kwa nguvu zote,unakumbuka yule alifariki kwa ajali ya gari miaka ile naye alikua anautaka *UENYEKITI* na uenyekiti ukachukua maisha yake?

ploudly ngosha [emoji243][emoji243][emoji243]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…