DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Mjomba unabusara sn. Hili swala lina kiza kinene sn. Nmependa sn commnt.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vile serikali ina mkono mrefu iwakamate waharifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maombi maombi maombi jamani,huu si wakati wa kunangana,kupanda helicopter na kupelekwa Naii haimanishi kuwa tatizo limekwisha,Lissu anahitaji maombi badala ya malumbano na kejeli
 
Mwombee adui yako aishi siku nyingi. Tunakuombea Lissu japo binafsi huwa sikubaliani na wewe. Ila siombi mabaya juu yako ili Mungu atukuzwe! !
 
SAFI, APELEKWE KWA WASHUA, KUOKOA MAISHA YAKE.

KWA AINA HII YA KUVIZIANA KUTAKA KUUANA BILA SABABU ZINAZOELEWEKA ITATUCHUKUA MIAKA 500 KUFIKIA MAENDELEO YA MAJIRANI ZETU WA KENYA
Acha kuongea upumbavu kinachotakiwa nikumuombea Mungu apone inamaana hko Nairobi Hospital zote ziko tupu hazinawagonjwa kwenye mambo ya serious avheni kuleta siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Mh. Lisu, Mungu atakuponya majeraha yako maana yeye ndiye Mponyanyi. Amen
 
NAJUA TU HAWA JAMAA WANAMUOGOPA HUYU WAMEMSHINDWA KISIASA SASA WANATAKA KUUA KABISA

 
Kwakuwa alishatoa taarifa za matisho ilibidi serikali imuwekee ulinzi ili haya yasitokee na kwasasa ni kazi kweli kweli kuwa kuwa na mitizamo elekezi ya hali ilivyo.
 
Chacha Wang we.
 
Nimeshindwa kujizuia kwakweli nimelia sana.

post using my macbook air using jamiiforums app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…