DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Chuki za kutisha zinazoenezwa na dikteta uchwara ndiyo chanzo cha hii.

 
Inawezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ni kweli tundu lisu kapigwa risasi mbili mjini dodoma akiwa kwake??
 
Pole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
Mtu anastage Kuuawa?!!! Yahitaji moyo kuamini hivyo, kwani maisha ni matamu, asikwambie mtu!
 
Anatafuta kiki tu huyo
Anafikiri ndo namna ya kuzima nyota ya Magu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…