DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Dah braza kweli unamakengeza ,hilo koti la khaki mbona halionekani. Af mkuu bila shaka wewe ni mstaafu maana kama vile naona muwasho
 
Dah braza kweli unamakengeza ,hilo koti la khaki mbona halionekani. Af mkuu bila shaka wewe ni mstaafu maana kama vile naona muwasho
Ni rangi gani kama sio khaki?
 
Sisi tunataka tuwajue waliopiga risasi, na siyo mpiga picha wa gari!
....yaani nyie mazwazwa wa lumumba sijui akili zenu zina mavi??
 
Hajulikani

Jr[emoji769]
 
TCRA wanajua,subiri uchunguzi ukamilike utamjua mpiga picha...
 
Sisi tunataka tuwajue waliopiga risasi, na siyo mpiga picha wa gari!
....yaani nyie mazwazwa wa lumumba sijui akili zenu zina mavi??
mpiga picha aliyekuwa mwenyewe...Interesting to know and easy to find.
 
an original is easy to recorgnise but difficult to find!let me ask you *Nani alikuwa wa kwanza kufika eneo la tukio?ukimtaja huyo basi ndio huyohuyo alepiga hyo pcha!
 
Unataka kusema gari ya bei hivyo waifanyie bongo muvie? Bei ya kioo chake tu sawa na madaraka manne ya shule ya kata.
 
mh! Mie tokea nilivyosoma ile habari kuwa Lissu hatarudia hali yake ya zamani nimeumia sana! Yaani mtu anapata ulemavu wa hivi hivi tu! imenisikitisha sana
NA kura yako ulimpa mtu ili atuongezee walemavu halafu yake yeye apande chati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…