Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
SIYO KWELIUgomvi wa madaraka ndani ya chadema hautawaacheni salama
Unaongelea damu ya mtu au kuku wako uliye fuga nyumbani kwako?Pole sana TL,lkn kwa kitu ninachokijua inawezekana kamanda Lissu akastage hii mambo au alichohaidi watu wa Acacia hajafanikisha
Ni wazi kabisa mkuu, na nafikiri unajua lawama zinaenda kwa nani hadi wakati huu!hii ndio point ya msingi pia.
mtu yoyote,wakatik wowote,kutokea mahala popote,kwa nia yoyote anaweza kumfanyia lolote ili tuvurugane.
maana hadi sasa ukisoma, kila mmoja anamtupia lawama mwenzake badala ya kumtakia kheri.
Yaan mpaka mbowe analia jaman Mungu mponye lissu
The big question is who is behind this?! Certainly not the government.Sidhani km tunaweza kufikia huko
Yote haya yanatokea awamu hii ya tano.Hii ni hatari, Tanzania haina tofauti na Rwanda.