Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka apigwe ya ubongo? Akipigwa ya ubongo Mimi kitatokea?[emoji1] [emoji1] ni kiki tu
labda iwe risasi ya ubongo
Ni kwel mkuuMungu wangu naomba isiwe kweli
Mungu wangu naomba isiwe kweli
Halafu ukimuangalia usoni huyo msemaji utaona usoni mwake unafiki tu,kweli demokrasia awamu hii iko juuYah yah majambazi waishio Kijitonyama
nani kakwambia kuna amani?Mnh!
But whyyy?!
Nchi ya Amani Tz yanguu... Sijui tunaelekea wapi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hali ishakua mbayaKiongozi kama Lissu Zama hizi anastahili kupewa Ulinzi wa Uhakika
ila ni kweli aliwahi toa taarifa hiyo,Auaye kwa upanga naye atakufa kwa risasi.Ivi alipolalamika kuwa kuna nguruwe wa usalama wa Taifa anamfuatilia kila aendako polis walichukua hatua gani! Polis mnahusika na akifa mtafute njia tutaanza nafamilia zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app