DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Scenario 1
Ukisoma tamko la Acacia la juzi Sept 4 utaona kuwa kampuni hiyo sasa inataka kurejesha uhusiano mzuri na serikali. Hata hivyo, ili mpango huu uweze kutekelezwa, lazima Acacia ihakikishe inaondoa liability; Lissu. Ni bahati mbaya ametumika bila kujua namna hawa mabeberu wanavyofanya kazi zake. Wakikuruhusu 'utazame mfalme akiwa uchi' with naked eyes, huwa unatengeneza your own liability - and they do eliminate such liabilities in their account anytime when it dictates.

Scenario 2
Inawezekana kabisa kuna watu walinasa mawasiliano yake na walipaji kuwa wangempelekea mzigo wake. Watu wabaya wakafanya timing. Kuna haja ya kufanya thorough intel screen ya sababu ya kuwepo kwake mahali alipopigiwa risasi.

Tusubiri
hakuna mwenye mawazo hayo..bora ungesema majambazi kuliko hii
 
Nimesikia habari ni kweli lissu kapigwa risasi na mbowe kathibitisha kuwa kapigwa risasi nyingi................ mimi ni Mtanzania. Kweli Tanzania tumefikia hali hii. Very sad....
 
Hawa jamaawaliona mbinu hii ndio sahihi hata wao ni wapuuzi sana , Anyway damu ya MTU haiwez kuwaacha salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepata tetesi lakini tutarajie habari kamili huko dodoma mchana huu amepigwa risasi na watu wasiojulikana na amekimbizwa hospital na yuko chumba cha upasuaji.
kama ni kweli tumtakie apone haraka
 
Subiri ujue amepigwa wapi hiyo risasi pia.. na acha kusingizia mamlaka wakati unajua na yeye ni msaliti na labda tapeli kwa anaowasaidia kuiba mali za nchi yetu.. pesa kala na ugumu wa serikali unaendelea kuwanyoosha wanaompa bahasha kuvuruga..
Mbona unaongea conspiracies.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom