DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Watasema nini wakati wanaujua mchongo wote tena sa zingine wao ndo hutumiwa kufanya haya matukio ya political assasinations
mie sidhani kama watz wanaweza fanya hiki kitu mkuu, watakuwa jamaa wa kule kwa akina amavubhu manake niliwahi ona uzi humu kuwa hawa jamaa wapo kwetu tena kwenye kitengo nyeti, sisi watz hatujafikia hivyo, tunaweza tukawa ni masterplan lakini kufanikisha sie hatuwezi, hatujafika huko mkuu, tunajijua sana watz
 
Beware of little expenses; a small leak will sink a great ship
 
Yani wewe vyote ulivyoandika ni pumba tupu, msitupotezee hapa ni system tu ndo inahusika, period.
Pole Lissu. Nakutakia upone haraka. Bado tunakuhitaji, kwani ukiwepo ukishuhudia watanzania wakijitegemea kweli kweli bila ghiliba za wanyonyaji itakuwa faraja kwa watanzania.
 
Mods hamuoni hawa wajinga????

Wapeni Ban watupishe na maupuuuzi yao hapa.

La sivyo tutaanza kutifuana na matusi hapa
i am so sad with this news. hata hivyo huwezi kunipangia cha kukoment. nikuulize swali?. unafikri waliomimina risasi mchana kweupe wanamission ngani?. i am telling yuo we are at the point of no return. sijawahi kufikri kama mambo ya ajabu hivi yatakuja kutokea in my own country. comment yangu hata hivyo ilikuwa inawakilisha miaoyo ya wapinga risasi na siyo mawazo yangu.
 
sikuwahi kudhani kuwa una roho mbaya kiasi hiki

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
Aliwahi kuitaja Gari na vijana yeye anawajua kwa sababu aliwaonya waache kumfuatilia namba alizotaja hakatokea mwenye Gari kukanusha na wala polis hawajalitafuta Gari hili kwa hali hii hata mjinga lazima ahisi.

Serikali za kiafrica hua ziko hivyo unapoongea mabaya yao
 
Mwenyekiti wa chama Cha demokrasia na Maendeleo Taifa mh: Freemani Mbowe Akikabidhiwa Nguo Ambazo Alikua Amevaa Tundu Lissu Zikiwa Zimelowa Damu nyingi, Tumuombee Tundu lissu Kapigwa risasi nyingi tumboni na miguuni hali yake sio nzuri.
 
Cdm ni chama cha nini sasa, wakati yeye anaingia vikao vyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…