DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Ni mungu huyohuyo anayetutaka tutii mamlaka iliyowekwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa mungu.
 
Baada ya kuona amepewa mwaliko wa kwenda Marekani mkaona akifanikiwa kufika huko atawafunua mchana kweupe na mkaona ni vema zaidi mumnyamazishe kabla ya kufika huko....kwa bahati mbaya sana mission imebuma na ndio mnazidi kumtengenezea njia na nyie kujitengenezea narrow roads......Get yourself prepared coz am sure when he's going to wake up...you will get hard time to block the fire out of him
 
Difficult to magine!!

Mungu wetu mwenye uweza wote tunakuomba yalinde maisha ya mtumishi wako ambaye watumishi wa shetani wanataka kutoa roho yake.

Waangamize wauaji na aliyewatuma kwa mkono wako mkuu na wenye mamlaka yote ili wakajue kuna mkuu kuliko wote, ambaye ni wewe Mungu wetu wa haki na uponyaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mhusika unamjua?

......
 


Kwa nini huyo jamaa hakulenga vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…