Nimeona watu wanazungumzia SUALA hili la lissu ktk NAMNA tofauti tofauti
WENGINE WAKIWA neutral hawajui
Na wengine wakiituhumu SERKAL
Kwa maoni yangu niseme tu hili ni jambo baya sanaaaa na lapaswa kupigwa vita kila KONA
JAPO ni mapema mno kurusha tuhuma pasipo julikana
Kwa wale waliopitia mambo ya propaganda
Wanaweza nielewe
Haya mambo tulijifunza
Na kweli nimeshuhudia Sana'a yakitokea ndani ya siasa
Kwa harakaharaka ni simple MTU kusema ni SERKAL na INA chuki na lisu n.k
Lakini pia maadui ktk ULIMWENGU w uadui na ujasusi,hutumia fursa kama hizi ktk kukoleza amakuchochea moto wa sakata kama HILI
Either kwa ajili ya maslahi yao kuyalinda
AMA kwa ajili ya kumrudisha MTU nyuma
Kwa upande wa SERKAL juhud za JPM zinaonekana na kila MTU anaona adivyomfumbia macho YOYOTE IWE chama TAWALA n.k
So watu wajue pia maumivu yanauma pia
So MTU UNAWEZA Fanya chochote ili kuchochea vitu
Kwa nyakati hizi kwa SERKAL ni NGUMU sana kufanya kitu cha kipuuzi kama hicho cha kutuma watu wakampige MTU wakati kuna report. Imewasilishwa
Bado WATZ hatujafikia huko
Unless ya GADAF yaanze kujitokeza kwetu kwa uchochez wa kipropaganda and the last akaondolewa na wananchi na kuuwawa kabisa
But Leo wanamkumbuka
SO WE NEED TO BE SILENCE ANF LET'S KNOW WHAT'S GOING ON