DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

Wakuu,

Inadaiwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi. Kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma.

Ameshambuliwa kwa risasi wakati akishuka nyumbani kwake Area D Mjini Dodoma, alikuwa akitokea Bungeni na alienda Nyumbani kula chakula cha mchana.
9f94cea0e0708e5fafb57915caf1dd27.jpg

abc21fedd617180297c6247f403b7362.jpg


Updates to follow
Niliwahi kuwambia mshaulini huyu Jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamemshindwa mahakamani sasa wameamua kumuua kabisa!
 
Breaking ITV, Mbowe amezungumza na kuthibitisha, ameongeza kuwa hali yake ni mbaya anaendelea kutibiwa
 
kwa mujibu wa hiyo picha, washambikiaji walikuwa wanajua wanacho fanya.

angalia tundu ka mwisho la risasi katika kioo cha nyuma ni usawa wa kichwa kinapo egeshwa pindi mtu mzima akaapo

[HASHTAG]#mikono[/HASHTAG] ya elite.
 
Wakuu,

Inadaiwa Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ajeruhiwa kwa risasi.

Kwa sasa wapo hospitali ya Mkoa, mjini Dodoma.

Ameshambuliwa kwa risasi wakati akishuka nyumbani kwake Area D Mjini Dodoma, alikuwa akitokea Bungeni na alienda Nyumbani kula chakula cha mchana.

Lissu amepigwa risasi 5, miguuni na tumboni

9f94cea0e0708e5fafb57915caf1dd27.jpg

abc21fedd617180297c6247f403b7362.jpg


Updates to follow
IMG-20170907-WA0004.jpg
IMG-20170907-WA0004.jpg
 
Huku tunakoelekea sasa siko...mapambano yafanyike kwa hoja tu sio kumwagana damu.
Naiunga mkono serikali kwa mapambano ya kulinda na kutetea rasilimali zetu lakini hili la usalama kwa raia ni la muhimu zaidi hasa hasa viongozi.
 
Back
Top Bottom