Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini hao watu wasiojulikana hawakamatwi?
ina maana kwa matukio yote hayo vyombo vya dola vimeshindwa kuwatambua watu wasiojulikana?
Sidhani wanaweza kuwa wapumbuvu kiasi hicho waache loopholekumbe gari iliyotumika ni nissan.nadhani mnajua nissan zinatumika na idara gani ya serikali
bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
= bastolammmh sasa bastora ya nini tena
Walijua tukio litatokea!!Vipi tena mbona hiyo taarifa ya pole kutoka Lumumba ni 7/08/2017.... duh out of deadline...
Hizo sheria mtunzi alikua ni nan kama sio nyinyi wenyewe?!HATUWEZI KULINDA SHERIA INAYOTUUMIZA. HATUWEZINKUHESHIMU MIKATABA ILOSAINIWA NAWAPIGA DILI NASISI TUENDELEE KUIABUDU .....IVI KWAN NYINYI WAPINZANI SINDO MLIKUAGA MNALALAMIKIA HIIII ????? MMEKUAJI NYINYI ????????.
NANI ALITHIBITISHA KUA HUYO ULOMTAJA ANAVYETI FEKI ???? .NAKAM ANAVYETI.FEKI KWANN UKAGUZI HAUKUMTOA ?.