thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Mhe. Spika Job Ndugai Unakumbuka haya maneno yako kuhusu Tundu Lissu Leo Yametimia au Baado?
Hii pia fahamu ni kwa mujibu wa taratibu walizojiwekea kama binge,si holela,Lissu mpaka Leo hakufuata taratibu za matibabu,spika hana namna ya kufanya kinyume na taratibu zilizowekwa na bunge.