Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWAHIYO HUYO JAMA YENU, KUMBE ANAGOMBEA URAISI WA MAWAKILI, SIO WATANZANI TENA? HAYA WATAMCHAGUA HAOHAO MAWAKILI.Wewe kama hujui nini Lissu kafanya kwa watu kama wakili kabla ya kuingia bungeni na pia kama mbunge wa JMT basi wewe ni bonge la MTU asiyejitambua au kujua ya nchi hii.
Ukinitajia mbunge hata mmoja aliyeonyesha kuipigania nchi hii kusimamia sheria na katiba bungeni zaidi ya Lissu katika historia basi nitakaa kimya kabisa.
Uwezo wako wa akili uko chini sana. Kama lugha hii ya kiswahili umeshindwa kunielewa utanielewa na ipi sasa?KWAHIYO HUYO JAMA YENU, KUMBE ANAGOMBEA URAISI WA MAWAKILI, SIO WATANZANI TENA? HAYA WATAMCHAGUA HAOHAO MAWAKILI.
BILASHAKA MUMEVURUGWA BIBAYA.
NDIO MAANA KASEMA WATUMISHI WA UMA NI TAKATAKA ZA JALALANI.
Kutukanana hakuondoi uhalisia wa jamboo.. Kiki zenu zote na mpropaganda zenu zimefika mwishooo.Uwezo wako wa akili uko chini sana. Kama lugha hii ya kiswahili umeshindwa kunielewa utanielewa na ipi sasa?
Wahenga waliposema "never argue with a ....." walijua wasemacho.
Propaganda zilizofikia mwisho ni za CCM maana hata wakubwa wenu walio ndani ya kampeni wanalijua hilo isipokuwa nyinyi vuvuzela mnaogawiwa tisheti na kofia.Kutukanana hakuondoi uhalisia wa jamboo.. Kiki zenu zote na mpropaganda zenu zimefika mwishooo.
Unaongea nn wewe, tusaidie kama kuna Rb yyte pale Dodoma na Uchunguzi umefikia wapi tangu tarehe 07/09/2017Mnaleta maswali mepesi hapa, angalia mazingira yake, na baadae namna alivyotunzwa na wahusika, ujiulize alipata msaada gani kwa watu waliopaswa kumsaidia, basi waulize hao!
Hii ngoma ya India unaionaje mkuu.Kikubwa alinusurikaView attachment 1723447
HachomoiHii Ngoma ya India unaionaje mkuu
Tai yuko angani mkuu[emoji872].... Favya hivi[emoji40][emoji40][emoji40]Hii Ngoma ya India unaionaje mkuu
Watu wameteseka sana hii awamu. Ulikuwa ni miaka sita ya visasi uonevu ubambikiaji kesi hovyo. Mpaka leo Kuna watu wako wanashikiliwa kwa tuhuma zisizokuwa na mashiko alimradi wamfurahishe awapandishe vyeo.Tai yuko angani mkuu[emoji872].... Favya hivi[emoji40][emoji40][emoji40]
Kuna mada ya roho saba ama tisa? Za paka
Kuna yale magari ya zamani SISU, IVECO na LAYLAND tulikuwa tunayaita roho ya paka...!!!
Fanya hivi mkuu[emoji40][emoji40][emoji40]...jicho la tai[emoji872]huona mbali sanaView attachment 1723464
Roga Roga mwananguTai yuko angani mkuu[emoji872].... Favya hivi[emoji40][emoji40][emoji40]
Kuna mada ya roho saba ama tisa? Za paka
Kuna yale magari ya zamani SISU, IVECO na LAYLAND tulikuwa tunayaita roho ya paka...!!!
Fanya hivi mkuu[emoji40][emoji40][emoji40]...jicho la tai[emoji872]huona mbali sanaView attachment 1723464
Kisiki cha mpingo mchwa hagusi ...labda tindoRoga Roga mwanangu
UjingaMnaleta maswali mepesi hapa, angalia mazingira yake, na baadae namna alivyotunzwa na wahusika, ujiulize alipata msaada gani kwa watu waliopaswa kumsaidia, basi waulize hao!