Dodoma: Wanaodaiwa kuwa wapenzi wakutwa wamefariki

Nyie watu Ni wapumbavu ndio maana raia hawapendi kutoa ushirikiano Kwa polis Kwa sababu ya wajinga kama nyie ,mnajaribu kucheza kesi kuwa mtoa ushahidi anahusika ?



Ndio maana mim hata nikiona mtua anakufa nakataa nasema sikuona kabisa ,sababu ya mbwa kama nyie ,na polisi kumejaa wajinga kama nyie ,Kazi Ni kuanza kumshuku MTU aliyeona bila kutumia taaluma yenu kutatua matatizo ...
 
Kwa kuwa mlango ulikuwa umefungwa Hapo jibu ni kuwa huyo mwanaume ndio kauwa baada ya kuuwa akapagawa akaamua nayeye kujipiga bisu la tumbo case closed
Watakuta kisu chenye damu na fingerprints zake. Mbali na hayo kesi bado mbichi.
 
Mke wa mtu tu tu tutu…SUMU
 
Kama unaishi na Mwanamke au Mwanaume au ukileta demu Gheto hakikisha unaondoa kisu rungu bastola nk siku mademu na wanawake hassa Hawa Malaya wana Hasira Sana anaweza kukukata pumbu kisa Vitu kidogo so hakikisha vitu vyenye ncha Kali unaviweka mbali pia unaweza hata ukamuomba jirani akuwekee .

Ila ikiwezekana jaribu kukaa mbali na ngono
 
Ubongo wako na ule wa kuku, hauna kabisa tofauti.
 
afadhali umenena mkuu
hata mimi nimewaza kwa hali hii kama ndo awalio wemgi wanawaza hivi pamoja na polisi wetu basi tumekwisha! Mana mtu hata ukiwa unataka kukata roho hatakusaidia mtu kwa mentality za kijinga namna hii
 
nimekuelewa sana.
 
Kwahiyo walikuwa wanaugomvi humo ndani?
 
Wagogo mm hapana kwakweli. Cjui wanao wanachinja ngombe au mbuzi.
 
Nimeachana na mke wangu wa ndoa miaka kibao bada ya kuniona nimechacha sasa Niko poa na nimeona mwanamke doctor bas anadai taraka na shampa how
 
Swali ni
1. Mwenye nyumba alisikia peke yake mtu akiomba msaada?
2. Ndani ya nyumba hakukuwa na mtu mwingine yoyote?
3. Na kama walikuwepo mpaka mwenye nyumba anavunja mlango, mpaka anawataarifu polisi hakukuwa hata na mtu mwingine kushuhudia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…