Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wengi sana je ule upande wa pili bila wasanii si wangebaki mezaa kuu tuHaikuwa mbaya sana, kaeneo kalijaa bana tuacheni unafikiView attachment 1558709
ni wengi sana je ule upande wa pili bila wasanii si wangebaki mezaa kuu tuHaikuwa mbaya sana, kaeneo kalijaa bana tuacheni unafikiView attachment 1558709
HakubalikiDodoma mbona hakuna watu mkutano wa lissu?? Nini kimetokea??View attachment 1558320
Hehee, aibu kwenu, na bado
Leta picha tulinganishe na DomLeo nilikuwa Arusha kwa biashara zangu, waziri mkuu alikuja hapa yaani ni aibu. Japo mimi sio muumini wa nyom zaidi ya sera. Nadhani wasanii walikuwa ni wachache.
Alikuwa sehemu gani ya arusha mkuu...Leo nilikuwa Arusha kwa biashara zangu, waziri mkuu alikuja hapa yaani ni aibu. Japo mimi sio muumini wa nyom zaidi ya sera. Nadhani wasanii walikuwa ni wachache.
Msosi upo?
Mkuu mbona kitambo hata stendi ya daladala ilisha fungwa plus ile iyokua ya mabasi ya mkoani , so ni ndani ya miaka mitano na wafanyabiashara walipata hasasa kubwa tu mkuuJamatin imebomolewa lini!
Hakupata kabisa watuAkihutubia maelfu kwa maelfu ya watu kwenye Mkutano wa Kampeni katika Uwanja wa Uhuru jijini Dodoma
Ha haaUkisikia CHAUMA wako mitaaa yako na Mh, Hashimu Rungwe Spunda anamwaga Sera wewe wahi nafasi.
Huko ndiyo kuna sera za lishe bora kwa kila Mtanzania..Tumbo lako tu.
Leo nilikuwa Arusha kwa biashara zangu, waziri mkuu alikuja hapa yaani ni aibu. Japo mimi sio muumini wa nyom zaidi ya sera. Nadhani wasanii walikuwa ni wachache.
Aisee! Hiyo picha mlivyoiedit aibu kabisa!
Nyanyua camera juu au rusha drone, leta picha hapa,
Siyo unaenda sehemu ya watu waliomzunguka Lisu unapiga picha unaicrop kisha ndio unaleta hapa. Mnatia aibu
Hakuna kitu km hichoMkutano wa Lisu Dodoma umedoda