Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Uchaguzi 2020 Dodoma: Yaliyojiri mapokezi ya Tundu Lissu na mkutano mkubwa viwanja vya Uhuru Dodoma

Haikuwa mbaya sana, kaeneo kalijaa bana tuacheni unafiki
Screenshot_20200904-211145.jpeg
 
mzee baba tume ikimpa mitano tena atahamishia ikulu chato
 
Leo nilikuwa Arusha kwa biashara zangu, waziri mkuu alikuja hapa yaani ni aibu. Japo mimi sio muumini wa nyom zaidi ya sera. Nadhani wasanii walikuwa ni wachache.
Leta picha tulinganishe na Dom
 
Leo nilikuwa Arusha kwa biashara zangu, waziri mkuu alikuja hapa yaani ni aibu. Japo mimi sio muumini wa nyom zaidi ya sera. Nadhani wasanii walikuwa ni wachache.
Alikuwa sehemu gani ya arusha mkuu...
 
Jamatin imebomolewa lini!
Mkuu mbona kitambo hata stendi ya daladala ilisha fungwa plus ile iyokua ya mabasi ya mkoani , so ni ndani ya miaka mitano na wafanyabiashara walipata hasasa kubwa tu mkuu
 
Leo nilikuwa Arusha kwa biashara zangu, waziri mkuu alikuja hapa yaani ni aibu. Japo mimi sio muumini wa nyom zaidi ya sera. Nadhani wasanii walikuwa ni wachache.
 
Tulia dawa ikuingie na akili zikukae sawa
Aisee! Hiyo picha mlivyoiedit aibu kabisa!

Nyanyua camera juu au rusha drone, leta picha hapa,
Siyo unaenda sehemu ya watu waliomzunguka Lisu unapiga picha unaicrop kisha ndio unaleta hapa. Mnatia aibu
 
Back
Top Bottom