vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 615
Kwa uelewa wangu mdogo kuna mambo mawili
1.Kwa asili ya Africa hatuwezi kuwa na mfumo wa demokrasia kwa vitendo kwa jinsi tulivyo tangu kuumbwa(ndo maana nchi duniani hata waliona bora wajitafutie mfumo wao tuu utakaoendana nao
2.Au bado hatujafikia kiwango cha kuwa na mfumo wa demokrasia kwa sababu mbalimbali
Definition itabaki kuwa vilevile ila kimatendo haitafanya kazi ila tutabakai na vitabu vya wasomi na kujaza maktaba
1.Kwa asili ya Africa hatuwezi kuwa na mfumo wa demokrasia kwa vitendo kwa jinsi tulivyo tangu kuumbwa(ndo maana nchi duniani hata waliona bora wajitafutie mfumo wao tuu utakaoendana nao
2.Au bado hatujafikia kiwango cha kuwa na mfumo wa demokrasia kwa sababu mbalimbali
Definition itabaki kuwa vilevile ila kimatendo haitafanya kazi ila tutabakai na vitabu vya wasomi na kujaza maktaba