Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Mission ya CHADEMA na CCM kwa nchi yetu Tanzania imeisha na sasa inatupeleka kupata Katiba Baada ya hapo ndipo tutapata muelekeo mpya wa Taifa letu!!eti chadema ife yani mzoga wenu wa chato ulisema hivyo matokeo yake chadema iko imara na yeye ameshaoza anaishiliza kunuka leo wewe msukule unasema chadema itakufa are you an imbecile.
Bora jeshi kuliko hao wapinzani mzee .Wapinzani hawajielewi..ccm haiminiki tena yani ni vurugu mechi.
Ila kwa ccm hii bora hata jeshi lishike hatamu.
#MaendeleoHayanaChama
wewe hata usipopigia chadema unimpact gani, toka lini chadema ijapigiwa kura na mapunga ya ccm yenye id fake yanayotaka mbowe aandamane kuyapigania huku yamekalisha makalio kwenye keyboard, by the way wewe punga la ccm hakuna anayehitaji kura yako chadema endelea kuzebezwa kwenye makorido ya lumumba mpaka utele ulugwedu.Naandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu walienda chadema tu basi kwangu ni sumu.
Mimi kura yangu this time naipa CHADEMANaandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu walienda chadema tu basi kwangu ni sumu.
Wewe jamaa unawaza udini 24/7Naandika hapa na anayepinga apinge siwezi kupigia kura chadema mpaka nakufa ...Mtafanya makosa yote siwezi kupigia kura chadema mpaka kauli ya mwisho hata kiwe chama cha dola ya kiislamu wakiungana na chadema tu basi kwangu ni sumu.
Mshamba Lin mlishinda? Kenge kama nyie mko wachache tena wale washamba!?wewe hata usipopigia chadema unimpact gani, toka lini chadema ijapigiwa kura na mapunga ya ccm yenye id fake yanayotaka mbowe aandamane kuyapigania huku yamekalisha makalio kwenye keyboard, by the way wewe punga la ccm hakuna anayehitaji kura yako chadema endelea kuzebezwa kwenye makorido ya lumumba mpaka utele ulugwedu.
Nimesema hata uislamu uhamie huko sitausapot ng'o!!We jamaa unawaza udini 24/7
Chadema ya nn chama cha ukoo..Ngoja uje kuteseka 😂😂😂Mimi kura yangu this time naipa CHADEMA
Huyo aliyeandika hapo juu ni muongo, mzandiki na mpiga ramli wa siasa majtaka
Kama CHADEMA ni threat kwa nchi. Ni kwa nini Msajili ama hiyo dola ambayo imemtuma hapa wasikifute chama hiko?
Mimi ninavyofahamu ni kwamba, CCM ndiyo wanaongoza kiharamu baada ya kuchafua uchaguzi mkuu 2020
Kwanini?Nimesema hata uislamu uhamie huko sitausapot ng'o!!
Hujaongelea facts... Ila ni majungu na chuki kww chademaHawa watu ,uzalendo wao ni Zero, Wabinafsi , na Kila kukicha wanazidi kuweka wazi Sura zao Asili .( hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi ,wawe wanapewa Ubunge tu ).
Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja .
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China .
Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu,Uzalendo ,Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake .
Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK , Yusuph , Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification , Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana, ni sawa na CHADEMA TU ,wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!!.
Tunawataka Akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehem Mfugale wengi Akina Deo Filikunjomb wengiii !!.
Yangu ni hayo !!
Siwezi kupigia kura chadema hata ukoo wangu wahamie huko ,najua vingi kuhusu icho chama.Kwann
Vingi vipi?Siwezi kupigia kura chadema hata ukoo wangu wahamie huko ,najua vingi kuhusu icho chama.
Badilisheni mwenyekiti kigeugeu mlamba asali kwanza ,Tumia tu akili za kuzaliwa utagundua sipo hapa kwa mabishano hata hao ccm siwakubali sijwai kuwapigia kura hata siku moja ila Cdm ni kichefuchefu kabisa.Vingi vipi?
Hili wanajitoa ufahamu "ujinga ni mzigo wa mavi" ndio mana Kinana aliwaambia wajifunze kujenga hoja! Hawajui kuwa hata PM wa UK sio mzaliwa wa UK..familia ya Ssh nao wako Uarabuni.
Soma tena ulichandika halafu ujitathmini kama hujaandika ujingaBadilisheni mwenyekiti kigeugeu mlamba asali kwanza ,Tumia tu akili za kuzaliwa utagundua sipo hapa kwa mabishano hata hao ccm siwakubali sijwai kuwapigia kura hata siku moja ila Cdm ni kichefuchefu kabisa.
Mtu kama Abdul nondo anajitambua anaongea point plus kuwa na misimamo ,hao jamaa zako mvi kichwani ila hawanaga misimamo watoto wao wako nje ,then nyie kajamba nane ndo mfanye maandamano.
Hao machalii wanaandaliwa kuja kuwashikia akili na kupata pesa kupitia chama cha ukoo ,nyie hapa dar unavalishwa magwanda ya mgambo Kuna joto kali hivi mnajitambua kweli?
Unajiona smart kumbe umeandika ujinga Kaa zako kijijini chama cha ovyo hakitokuja kuingia madarakani ng'o.Soma tena ulichandika halafu ujitathmini kama hujaandika ujinga
Badilisheni mwenyekiti kigeugeu mlamba asali kwanza ,Tumia tu akili za kuzaliwa utagundua sipo hapa kwa mabishano hata hao ccm siwakubali sijwai kuwapigia kura hata siku moja ila Cdm ni kichefuchefu kabisa.
Mtu kama Abdul nondo anajitambua anaongea point plus kuwa na misimamo ,hao jamaa zako mvi kichwani ila hawanaga misimamo watoto wao wako nje ,then nyie kajamba nane ndo mfanye maandamano.
Hao machalii wanaandaliwa kuja kuwashikia akili na kupata pesa kupitia chama cha ukoo ,nyie hapa dar unavalishwa magwanda ya mgambo Kuna joto kali hivi mnajitambua kweli?
Sasa hii ndiyo nini!?Hawa watu ,uzalendo wao ni Zero, Wabinafsi , na Kila kukicha wanazidi kuweka wazi Sura zao Asili .( hata iweje Hawa watu wasipewe Nchi ,wawe wanapewa Ubunge tu ).
Naam kwakua, Chama Cha mapinduzi ndicho kilichojishikanisha na Dola Moja Kwa Moja .
Basi, Dola ni vema ikahakikisha inatawala kama Ulivyo Utawala wa China .
Yaan tupate CCM ambayo Ina watu wenye Uchungu,Uzalendo ,Watu watakaoipenda Nchi Yao, nakulinda mali Asili za Nchi hii pamoja na utajiri wake .
Watu ambao watatanguliza Maisha Yao mbele Kwa ajili ya kujenga Nchi hii.
CCM ya Akina Kinana, Makamba, JK , Yusuph , Nape, hiii haitokaa kutuvusha.
Tunahitaji CCM yenye U-Magulification , Mkono wa Chuma wenye lengo la kuifikisha mbali Nchi hiii kama ilivyo UCHINA NA UTAWALA WAKE.
Kwa Sasa CCM ya Kinana, ni sawa na CHADEMA TU ,wote ni viburi, jeuri, ubinafsi!!.
Tunawataka Akina Bashiru, Mpina, Akina Gwajima, Akina Kassim, tunawataka wawepo Akina Marehem Mfugale wengi Akina Deo Filikunjomb wengiii !!.
Yangu ni hayo !!
Uliona wapi nimeshabikia ccm ? Sijawai kuwapigia kura ccm ,Chadema wamenoangusha nishaapa sitokuja kusapot chama lao Tena...hivi wewe mwenzetu unayeshabikia Ccm, kodi, tozo, ukosefu wa ajira, mfumuko wa bei, etc havikuathiri?