Nimeipenda hii mbinu ngoja nami niitumie𤣠maana kwa bahati mbaya special namba yangu ilikua inatumiwa na CHUO CHA AFYA nakoma kwa usumbufu na watu hawajiongezi kugoogle Details za hiko chuo japo sshv imepunguaNikawa napigiwa sana
Sasa ili kuwakomesha kila anayepiga nilikuwa namjibu HALO HAPA NI MOCHWARI KARIBU TUKUHUDUMIE...
Nilimaliza tatizo kwa namna hiyo
Wale walikuwa Salam Tuš¤£Walikuwa wanadai matumiziš¤£š
Hahahah[emoji23]Nimeipenda hii mbinu ngoja nami niitumie[emoji1787] maana kwa bahati mbaya special namba yangu ilikua inatumiwa na CHUO CHA AFYA nakoma kwa usumbufu na watu hawajiongezi kugoogle Details za hiko chuo japo sshv imepungua
Waache wajilengeshe wewe kusanya application fee mpaka akili ziwarejeeNimeipenda hii mbinu ngoja nami niitumie𤣠maana kwa bahati mbaya special namba yangu ilikua inatumiwa na CHUO CHA AFYA nakoma kwa usumbufu na watu hawajiongezi kugoogle Details za hiko chuo japo sshv imepungua
Ila mmoja alistuka akafanya kila namna mpaka tukaonana... [emoji23] halafu unajua nini... 'Tukafurahiana sana'[emoji1][emoji1787]
Mbinu ilisambaratisha mtandao wa mahaba
Ukitaka laini yako wasigawe iache na halopesa au mpesa au tigo pesa kidogo
Staki dhambiš halafu wengi tu wapo mikoani wanapiga kuulizia Fomu bei gani na utaratibu wa Kujiunga mimi huwa nawajibu Umekosa namba, mimi ni mtu binafsi sio Chuoš¤£š¤£ wengine hawaelewi basi nablock tu staki stressWaache wajilengeshe wewe kusanya application fee mpaka akili ziwarejee
Dadeki..umeula wa chuya...
Tz Kila sehem Ni majanga
Kuitupa haitoshi.Nenda ofisini kwao ukaifute kwa sababu inaonekana kufuta huwezi kufanya mwenyewe japo imeandikwa kwenye menyu.Kiukweli nimeitupa naona itaniharibia ndoa yangu