Donald Trump anatangaza Vita Rasmi dhidi ya LGBTQI+

Kushika bendera bado sio hoja Kwamba anaunga mkono,
Kushika bendera hiyo maana yake ana heshimu machaguo ya wengine.
Kwa Kama unakumbuka ni kwamba Trump alivyokuwa Rais kwa mara ya kwanza alifuta bajeti ya Kubadili jinsia jeshini kwa nini?
Trump si mjinga ni mtu wa fursa, kama unaona asilimia kubwa ya watu wanasapoti ugasho na unawataka kama njia ya kuupata U-Rais unaweza shindwa kuwaonesha hypocritical support?
 
Trump si mjinga ni mtu wa fursa, kama unaona asilimia kubwa ya watu wanasapoti ugasho na unawataka kama njia ya kuupata U-Rais unaweza shindwa kuwaonesha hypocritical support?
 
sema wayahudi wa kwa tumbo itawauma sana hii,hawajui washike lipi...wamshike trump ili wanusurike juu ya iran huku wakikosa haki zao
 
Wale sio waarabu ni wazungu wenzio waangalie vizuri waliweka vili ili muone waarabu pia wanadai wahalalishiwe hiyo ni propaganda za kimagharibi walijua wapo watu kama nyie mutawakubalia propaganda zao ila nakupa pole maana ndio uwezo wako wa kuona
Nyie ndo mnaotaka kubadilisha nyeusi iwe kijani.
 
Oyaa jamani hivi mnafatilia hii speech??.

Jamaa anasema kuanzia Sasa, Marekan itatambua Jinsia mbili tu ambayo ni Ke na Me, na ambazo hutambulika mara tu ya kuzaliwa 🤣🤣🤣🤣

Woyooooooo
Dah,
Trump anaupiga mwingi mnoo.
Mambo ya transgender ni ushetani mtupu
 
Tumuombee Mungu amlinde
Trump ni conservative and not religious. Personally napenda his movements but I hate the way black Africans treat him like a messiah sent by Jesus. The same guy who owned Miss Universe which paraded young ladies in bikinis ati leo awe the symbol of God in America? tumieni akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…