Sina tu kawaida ya kubishana na akili ndogo that's why,,, kwangu mtu ambaye badala ya kujenga hoja anaingiza maneno yasiyostahili, huwa nakubali kushindwa,, ππ€π½mbona sasa hivi baada ya kupewa dawa / dozi ya awali umekuja / umerudi kwa nidhamu kubwa tofauti na pale awali?
labda kwa wageni wa jiji,jijini.Maandishi haya sio mageni jijini
Shuka kwanza kwenye Boda ndio utulie uandike vizurina cha kushangaza sasa unavyolalamika utafikiri labda kuna mahala popote pale kenge wewe umelazimishwa kuusoma
Mamake MwashambaMama yako au unamaanisha mama gani?
Kama wewe nikubwa jaribu kujua habari ya Luca,Tlaaahtlaah na ChoiceMimi. Naiangalia sana 2025 hivi mnajua mama alimtegemea sana Harris kushinda
hivyo tumepata pigo kubwa?
Mama Kibu,alikuwa anamtegemea amnyooshee mambo kwa refa.Mama nani?
Alikuwa anamtegemea afanye nini?
Ushindi wa Magu ulitanguliwa na ushindi wa Trump,Japo Harris kashindwa ila Mama atashinda tu, nchini hapa hakuna uwezo wa kuitoa CCM.
Je na kimbuka hakijaleta madhara huko?Mara ya mwisho nilipocheki, Tanzania ilikuwa umbali wa kilomita 11,000 kutoka Marekani, halafu uchaguzi wetu mkuu wenyewe uko mwakani!
Sasa habari za kushindwa kwa Kamala na pigo kwa Tanzania, wapi na wapi?
Anewei, nimekupata, mkuu. Tumpe pole sana mheshimiwa. Hivi kule Q-ba mkutano wake umeendelea vizuri kweli? Maana pigo hilo la Trump si la kitoto hata kidogo. Netanyahu mwenyewe ameliita kuwa ni ^historic comeback!^
Kwani nyie huwa mnakuwa na uchaguzi?Mimi. Naiangalia sana 2025 hivi mnajua mama alimtegemea sana Harris kushinda
hivyo tumepata pigo kubwa?
Hivi atakuwa nani?Ushindi wa Magu ulitanguliwa na ushindi wa Trump,
Hivyo jua kuwa, kama ambavyo Trump anarudi kuimalizia KAZI aliyoianza,
Mrithi wa Magu pia atashinda kuimalizia KAZI aliyoianza Magu.
Tusubiri π
Ni mlawi/ Yehu.Hivi atakuwa nani?
Wewe unakaa na Samia?Mimi. Naiangalia sana 2025 hivi mnajua mama alimtegemea sana Harris kushinda
hivyo tumepata pigo kubwa?