Donald Trump: Hakuna maji ya kuzima moto, hakuna pesa katika mashirika ya dharura

Mbona wana mbinu nyingi sn za kutatua majanga kwenye movie zao?? SupperMan 🦸‍♂️ yuko wapi jamani😁😁. Kuna ile style moja niliona kwenye movie yao moja wanachota maji na helicopter ikiwa imebena lifuko likubwa linauning'iniza likifika baharini linatumbukiza mfuko baharini ikinyanyuka inanyanyuka na litre zakutosha. Au Los Angeles hakuna bahari??😂😂
Waangalie movie zao bhana wasituchoshe.
Inshort hata siumii yanayoendelea nikifikilia maswala yao ya upinde acha wachomeke tu
 
Huduma gani za kijamii ambazo ni mbovu zisizoendana na hadhi yake?

Trump hakufuta Obamacare, alikosa kura za kutosha katika bunge la seneti baada ya John McCain wa Republican kukataa kufutwa kwa huo mpango, pia Obamacare sio kwa ajili ya raia wote wa Marekani bali ni mpango wa watu wa kipato cha kati na chini.

Huduma za matibabu kuwa juu sana Marekani ni kwa sababu Republicans ambo wako karibia nusu ya nchi hawataki serikali isaidie kugharamia au kuwapa nafuu za gharama za matibabu watu masikini kupitia bima nzuri zaidi na ruzuku. Republicans wanataka kila mtu agharamikie mwenyewe gharama zake za matibabu, hawataki serikali iingilie hospital au kampuni za madawa kupunguza gharama kwa sababu wanaamini soko huria linaweza kutatatua changamoto zozote zile na kwamba uingiliaji wa serikali kusaidia baadhi ya huduma ni sawa na ujamaa au ukomunisti tu unaoharibu soko na uhuru wa watu.
 
Waislamu eleweni moto huo umesababishwa na upepo mkali wa Santa Ana sio allah. Mtakatifu Ana sio muislamu , hili ni jina la
kikatoliki.
Wewe shoga unaumwa UTI sugu siyo bure Waislam wanaingiaje hapa
 
Kuna watu walikuwa wanaamini kwamba majanga yote duniani yanadhibitika kwa sababu ya teknolojia?

Mbona tumeona Tsunami na matetemeko yakiathiri mataifa yenye teknolojia kubwa sana kama Japan na Uturuki mara kwa mara?!

Mbona mafuriko yamekuwa yakiathiri sana Marekani miaka kwa miaka??
 

Hili ni funzo wa Biden na wajinga wenzake ambao wanasema waliomchagua Trump hawana elimu na akili.
Wanamaanisha kuwakubali mashoga na transgender ndio umeeelimika.
Wamejaza hawa vilaza kila waliobadili jinsia kila sehemu.
 
Jewish Billionaires Stewart and Lynda Resnicks farms guzzle more water than ALL of fire-ravaged Los Angeles.

They paid out Californian Governor, Gavin Newsom $366,800 to ensure his re-election in 2021.

Resnicks own 185,000 acres of land and a majority stake in the Kern Water Bank basin that stores up to 1.5 million acre-feet of water… which is sold back to the State when they allow.

This is the main reason the LA fire department had no access to water, exactly like we witnessed in Hawaii.
 
Hili ni funzo wa Biden na wajinga wenzake ambao wanasema waliomchagua Trump hawana elimu na akili.
Wanamaanisha kuwakubali mashoga na transgender ndio umeeelimika.
Wamejaza hawa vilaza kila waliobadili jinsia kila sehemu.
Wakati Trump akiwa Rais moto kama huo haujawahi kuwaka Marekani??
 
Hivi Genocides siku hizi kiswahili chake ni Majengo?
 
Iwapo utawahi kujisikia mjinga, kumbuka tu kwamba Marekani hutuma mabilioni ya dola kwa Wanazi nchini Ukraini na Wanazi huko Zionistan wakati Marekani inaonekana hivi.
Ongeza picha zingine tuone kulivyoungua huko kwenye mji wa Sodoma na Gomola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…