Dondosha mstari wowote wa Biblia unaoupenda leo ni Ijumaa

Mwanzo 3
1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu.

Wewe baki na werevu wako...

Mit 26:5 SUV​

Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
 
mungu hazaliwi wewe kiazi
Usiwapangie Watu kuamini waamuavyo.

Mungu anaweza kutenda mambo yote (hakuna jambo lolote linalomshinda) lakini hawezi kuzaliwa, ni akili hizo au matope?

Mungu kakuthibitishia kuzaliwa bila ya biological factors (sexual intercourse) za kibinadamu ili uone jinsi gani anaweza kufanya jambo lolote sababu NGUVU, UWEZO na MAMLAKA vina yeye na UKAMILIFU wake umepita fahamu za Binadamu, nyau wewe [emoji1]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
 
🤝🏻🤝🏻🤝🏻🙏🏼
 
hahahahahaaa mkuu tuwaache tuu Mana akilizao fyatu.mara wanasema oo yesu niroho.yani ujinga ujinga mwingi
Anzisha mada ya Allah😂😂 tuje tukuambie Jehamanu haitajaa hadi Allah aingize mguu wake
 

Mit 26:5 SUV​

Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
 

3 Yoh 1:2 SUV​

Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
 
Hosea 4:6
"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;
kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa,
mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi;
kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako."
Asante sa na kwa nukuu sahihi WANAANGAMIZWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…