Mimi yesu sio mungu yupo mungu Alie niumba Bali kwa upumbavu wenu mnaniita mungu.ngojeni siku yamwisho nije kuwakana ndio mtajua Kumbe hamjui.
Biblia ipo kimafumbo sana. Ukisoma kama gazeti unapata tafsri yake kama ulivyoandika.
Yesu ni mwana wa Mungu. Soma Yohana 3.16-17 Kwa jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanae wa pekee ili tupate kuokolewa.
Yakobo 2:17 Imani bila matendo mema imekufa.
Yesu alikuwa ana maana gani? Kukana? Ufanye uzinzi, uwe mwizi, udhulumu wa watu, ufanye kila aina dhambi. Hautaki kutubu, kwenye nyumba ibada upo, unaimba kwaya na kuhubiri huku matendo yako ni mabaya. Atakukana ndiyo maana yake.
Yohana 14:6 Mimi ndiye njia ya ukweli na uzina
1 Kor 6:9-11
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi. Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.