Doto Mashaka Biteko: Kutoka Ualimu, Ubunge atakuja kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kijana

Doto Mashaka Biteko: Kutoka Ualimu, Ubunge atakuja kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kijana

Nipo kijiwe cha magazeti nafatilia mijadala ya habari za leo magazetini. Nimewachomekea kuwa uteuzi wa dotto kuwa naibu waziri mkuu ni maandalizi ya kumuandaa kuwa rais ajaye wakanibishia na kuniambia anayeandaliwa kuwa the next president ni ma rope, hayo ni ya vijiwe vya magazeti na kahawa, time will tell
 
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....

Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...

Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.

Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.

Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.

Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.

La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!

Time will tell....!
Kila mtu na Nyota yake
 
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....

Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...

Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.

Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.

Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.

Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.

La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!

Time will tell....!
Hilo bichwa la habari siyo ukweli:

Nyerere alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 39.

Kawawa alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 36.

Salim Ahmed Salim alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 42.

Dotto Biteko hivi sasa ana miaka 45.


Hapo vipi? - Kwa sauti ya Makongoro.
 
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....

Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...

Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.

Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.

Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.

Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.

La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!

Time will tell....!
Time will tell
 
Hilo bichwa la habari siyo ukweli:

Nyerere alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 39.

Kawawa alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 36.

Salim Ahmed Salim alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 42.

Dotto Biteko hivi sasa ana miaka 45.


Hapo vipi? - Kwa sauti ya Makongoro.
Ni kweli bibi, japo mods wamebadilisha title heading.....
 
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....

Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...

Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.

Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.

Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.

Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.

La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!

Time will tell....!
Mwenzio ni PHD holder,ukimwita mwalimu grade 111A unamvunjia heshima sana.
 
Wenda lukuvi akuudaka uwaziri mkuu
Anything is possible. CCM toka Mwinyi atoke hawakuwa hi kuwa na Waziri Mkuu wa maana. Wa Mkapa alikuwa bomu, wa JK, Pinda alikuwa bomu.... Lowasa too much scandals but material. Wa JPM na Maza bomu. Hivyo akipewa Lukuvi siwezi shangaa... Same trend. Ni wale wale.
 
Back
Top Bottom