LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
H
Hatutarudia kosa kusimamisha rais toka bara,the next ptesifent is February malope
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
H
Hatutarudia kosa kusimamisha rais toka bara,the next ptesifent is February malope
Wagalatia hatuwapi tena nchi wauajiMwigulu ni Pro Magufuli, wameona wamuandae huyu kwa rais ajae mkristo
Kwanni ni viongozi wa umma?Niwekee taaluma ya Mbowe,Lema,Sugu na Mnyika
Kwani nchi ni mali ya BAKWATA?Wagalatia hatuwapi tena nchi wauaji
Kila mtu na Nyota yakeHizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.
Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.
Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.
Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.
La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!
Time will tell....!
January makamba 4 presidentMwigulu ni Pro Magufuli, wameona wamuandae huyu kwa rais ajae mkristo
Hatuwezi kuweka msukuma mkuu wa nchi tumeshawajua tabia zaoKikwete alivuma na akawa mkuu wa nchi.
Hivi kwanza Mpwayungu Village yupo wapi!?Hii comment akiiona Mpwayungu village hapa tokalika
Hilo bichwa la habari siyo ukweli:Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.
Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.
Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.
Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.
La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!
Time will tell....!
Time will tellHizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.
Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.
Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.
Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.
La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!
Time will tell....!
Ni kweli bibi, japo mods wamebadilisha title heading.....Hilo bichwa la habari siyo ukweli:
Nyerere alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 39.
Kawawa alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 36.
Salim Ahmed Salim alikuwa waziri mkuu akiwa na miaka 42.
Dotto Biteko hivi sasa ana miaka 45.
Hapo vipi? - Kwa sauti ya Makongoro.
Hata sijui kapotea wapi alikuja na uzi wake akiomba jf ifute uzi zake zote.Hivi kwanza Mpwayungu Village yupo wapi!?
Asante dada anguMali ya Bibi yako
Ni Watu wajinga tu wanataka huyo awe rais ona wizara ya nishati ilivyokuwa ovyo chini yake na nchi itakuwa ovyo chini yake.January makamba 4 president
Mwenzio ni PHD holder,ukimwita mwalimu grade 111A unamvunjia heshima sana.Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.
Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.
Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.
Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.
La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!
Time will tell....!
Anything is possible. CCM toka Mwinyi atoke hawakuwa hi kuwa na Waziri Mkuu wa maana. Wa Mkapa alikuwa bomu, wa JK, Pinda alikuwa bomu.... Lowasa too much scandals but material. Wa JPM na Maza bomu. Hivyo akipewa Lukuvi siwezi shangaa... Same trend. Ni wale wale.Wenda lukuvi akuudaka uwaziri mkuu