Achane uwongo. Biteko siyo Mluteli. Ni AIC (African Inland Church).halafu ni mlutheri, umeona hata walutheri wamekuwa wapole kwenye uwekezaji wame sense kuwa rais ajeye anatoka kwao kwa mara ya kwanza tangu nchi ipate uhuru. Hiyo rekodi nusura iwekwe na Lowassa kama si ile ajali yake ya kisiasa. Mtu mwenye kariba ya Magufuli aliyeachwa ili aandaliwe kuwa rais ndiyo Mwigulu, mwana UKWATA, Mlutheri asilia
mhhh, umeelewa ulichokiandika lakini, au ni utoto unakusumbuahalafu ni mlutheri, umeona hata walutheri wamekuwa wapole kwenye uwekezaji wame sense kuwa rais ajeye anatoka kwao kwa mara ya kwanza tangu nchi ipate uhuru. Hiyo rekodi nusura iwekwe na Lowassa kama si ile ajali yake ya kisiasa. Mtu mwenye kariba ya Magufuli aliyeachwa ili aandaliwe kuwa rais ndiyo Mwigulu, mwana UKWATA, Mlutheri asilia
Wakenya ni mashetani,Mungai alikuwa waziri wa elimu alivuruga elimu yetu sanaHii nchi inapenda Sana ushirikiano na wanyarwanda na watu wa Oman kuliko wakenya.
hiyo replay ilidondoke mahali si pake, nikuwa najibu mtu kuhusu mwiguluAchane uwongo. Biteko siyo Mluteli. Ni AIC (African Inland Church).
kuna member nilim quote kuhusu mwiguli reply ikadondokea kwingine ndio maana hujaelewa nilichojibumhhh, umeelewa ulichokiandika lakini, au ni utoto unakusumbua
Nadhani mtoa mada hajui vizuri historia ya nchi. Kuanzia kwa Nyerere, Kawawa, Cleopa Msuya, Sokoinne, Salim Hamed Salim, na Jaji Sinde warioba. Hawa wote walikuwa Mawaziri wakuu kabla ya kufikisha miaka arobaini.Kwenye waziri mkuu wa kwanza kijana kulingana na heading yako nakataa.
Nyerere alikuwa waziri mkuu kabla ya kufika 40 na nadhani hiyo rekodi inaweza isitokee kwa miaka ya karibuni kwa sababu wasomi wamekuwa wengi mno.
Pia kijana wa chini kidogo ya miaka 40 wa miaka ile ni tofauti kabisa na wa miaka hii kwa upande wa upeo. Na ndio maana akina Dkt. Salim walishika madaraka makubwa ya nchi wakiwa na miaka michache sana.
Ahh okykuna member nilim quote kuhusu mwiguli reply ikadondokea kwingine ndio maana hujaelewa nilichojibu
Sawa ticha ,nimekuelewaSiasa ni kipaji na bahati mkuu, haihitaji elimu.... ndio maana waziri wa katiba na sheria anapelekwa kwenye sanaa!!!!
Kazi Huwa zinafanywa na makatibu wakuu...
Ndio maana makatibu wakuu Wana mishahara mizito! Zaidi ya waziri mwenye dhamana!!! Hapa ndipo utashangaa ...!
Hii inatokea kwenye hizi nchi zetu tu za ulimwengu wa3
Kwani mheshimiwa ni mnyarwanda?Hii nchi inapenda Sana ushirikiano na wanyarwanda na watu wa Oman kuliko wakenya.
Wapare makande wanaita pure.Kwani mheshimiwa ni mnyarwanda?
Sasa unabii uko wapi hapo?Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.
Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.
Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.
Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.
La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!
Time will tell....!
Mawazo ya kijinga Sana haya,akiwa mlutheri ndiyo itasaidia nini? Kwani shida ya Nchi hii ni viongozi wasio na Dini? Au ni mfumo mbaya wa ungozi?
Je, ana-exposure ya kutosha?Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo....
Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii...
Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college 1999 na Mbunge huyu wa bukombe-Ushirombo 2015 to date.
Amekuwa na upepo nzuri sana wa kisiasa na kijamii kwa ujumla ulionyooka, tangu pale alipoteuliwa na Mwendazake kusimama kamati ya madini 2017.
Tangu alipoingia bungeni mara ya kwanza 2015...na kuteuliwa kusimamia ile kamati ya madini.
Nyota yake kisiasa imekuwa iking'aa siku hadi siku... haifananishwi na Mbunge yeyote kwa sasa.
La mgambo likilia... Ujue kuna jambo!
Time will tell....!