min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhNisamehe nikufanya kitu😊
Sikufanya kitu kweli 😊Mmmh
AnhaaSikufanya kitu kweli 😊
Binadamu yoyote asiyekula nyama ya Nguruwe ni Mpumbavu mno halafu pia ni Mshamba sana.Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Kuna Imam mmoja Kawe (namhifadhi) wasije Kumpopoa Mawe yaani anaila mpaka Kulamba kabisa na Sahani yenyewe.Ni muislamu
Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.
Na nina uhakika pamoja na huku Kumdharau Kwako kote na Elimu yako ila hajaishia tu kukuzidi huo Umaarufu unaokuumiza ila nina uhakika hata Kipesa / Kifedha pia ameshakuacha mbali vile vile na Elimu yake kuwa ndogo.Ukiwa maarufu ni shida.....huyu nae eti maarufu !! Khaaa......anatukana watu etii...
Hata Amba Rutty ni maarufuNa nina uhakika pamoja na huku Kumdharau Kwako kote na Elimu yako ila hajaishia tu kukuzidi huo Umaarufu unaokuumiza ila nina uhakika hata Kipesa / Kifedha pia ameshakuacha mbali vile vile na Elimu yake kuwa ndogo.
Achilia hao, kuna mwanangu anakuwaga ana poromosha mitusi ila utaskia nimefunga😁 kwahio haya mambo ya dini ni magumu sana.Nina jamaa zangu kibao ukifika mwezi mtukufu wanafunga, zikija dili haramu tunapiga wote huku wapo kwenye mfungo😆
Dotto ni aina ya watu ambayo wanaishi maisha yao tu without needing to prove any point to others. Kiufupi he doesn't give a flying fucq kuhusu nyinyi yeye anafanya kinachompendeza bila kuvunja sheria za jamhuri. Dotto ni mfano wa namna ninavyoishi japo mimi sio chawa wala siwezi kumtukuza mtu ila niko real.Ni Chairfire ,jikite kwenye mada ,Dotto Magari mtoto wa mama kizimkazi ni christian au Muislam? Juzi alifunga ndoa ya kiislam au hapa kati amebadili dini?
Unasemaje? haijakatazwa kinini? kwahyo huyo doto amekosa chakula kingine? mtu akiamua kula uchafu wa jalalani mwenyewe kwa hiari yake asemwe yeye hakuna haja ya kuambatanisha na uislamu, maana uislamu uko mbali kabisa na hayo mambo.Ni muislamu
Waislamu wanaokula wapo wengi. Kitimoto kwenye uislamu haijakatazwa kihivyo, imeruhusiwa ikiwa hakuna chakula kingine.
Kama siyo muislam kwanini afunge kiislam wakati kuna option ya bomani/serikalini?Kufunga ndoa ya kiislam sio kuwa muislam.
Na Wayahudi watoto wateule wako hawali.Mi mnyakyusa niache kula kitimoto kisa waarabu hawali, huu ni upumbavu original....
Wewe fala kweli, mwanaume unapata wapi muda wa kumfuatilia mwanaume mwenzako na lengo lako nini hasa.Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617
Siyo kula tu, huyo ni kati ya wafugaji wakubwa wa huyo mdudu nchini kwenu.Huyu Dotto Magari inadaiwa ni muislam lakini ameonekana akila mbuzi katoliki. Dotto ni muumini wa dini gani?View attachment 3121617