"Double Standards" ya TEC na Kardinali Pengo linapokuja suala la ukosoaji wa utawala

Hawako selective..
Wako openly biased...hawajali Nani anasema nini..
Ni mavuno ya kuwaendekeza na kuwapa platforms unnecessary.....

Watu wanatazama .. ukweli unaonekana.. wanachokipanda watakivuna
Wacheni upuuzi wenu, mnamtisha nani?!

Tunataka bandari zetu Tanganyika, Samia ni msaliti.
 
Umegoma kuwa mnafiki, ajabu hilo jinga na wenzake litajidai halioni hili.
 
Hatuwajibu wezi na mafisadi sisi. Tunaenda kuifanya bandari ijiendeshe kisayansi chini ya DP World ili majizi na mafisadi yaangukie pua.
Mafisadi gani!? Hao walioambiwa wale kwa urefu wa kamba zao na mama yako!!?
Btn mmeshindwa kabla hamjaanza
 
AU hujui kwamba magufuli aliifanyia reviw yote hadi wazungu wakatishia kususa na kutushitaki na hili pia hujui?? Hujui kabudi pia alifanya kazi gani kwenye mikataba ya migodi?? Sasa tunjadili nini kama mtu mwenyewe hujui chochote hadi vitu obvius pia unabisha
 
Ishu ya COVID ilikua wazi na kituko Cha dunia,wangefanya nin Zaid ya kulinda waumin wao?

Besides hakuna bandiko lolote kuhusu demokrasia na Utawala mbovu wa Magufuli ambao maaskofu walithubutu kutoa Waraka,kama upo weka hapa tuone
Huu ujinga unaojadili hapa, alishawahi kuja nao mjinga mwenzio The Boss muulize akwambie kilichompata, aliwekewa waraka akaishia kujiuma uma tu kama mtoto, punguzeni ujuha na unafiki.
 
Mafisadi gani!? Hao walioambiwa wale kwa urefu wa kamba zao na mama yako!!?
Btn mmeshindwa kabla hamjaanza
Mtakuja hapa kumpigia saluti Mama Samia pale mapato ya bandari yatakapoongezeka mara kumi chini ya DP World. Kelele zenu nyingi kwa sababu mnajua mlichokuwa mnakifanya pale bandarini. Fyekelea mbali mafisadi.
 
Tunaojielewa kwa sasa tunazililia bandari zetu za Tanganyika zilizotolewa kwa mwarabu, wamepewa milele, hizi kelele zako za 1992 kawatafuteni wajinga huko mbali muwadanganye nazo.
Dunia ya sasa lazima ubia uwepo na mbia anatakiwa mwenye fedha ndio maana unaona hata team za uingereza kina shekhe mansour na wengine wanazimiliki, wewe na kelele zako huko mbande eti hutaki ubia kisa muarabu
 
Tawala za waisramu siku zote ni hovyo
Maneno mengi vitendio hakuna
 
Mtakuja hapa kumpigia saluti Mama Samia pale mapato ya bandari yatakapoongezeka mara kumi chini ya DP World. Kelele zenu nyingi kwa sababu mnajua mlichokuwa mnakifanya pale bandarini. Fyekelea mbali mafisadi.
Yeye, mbarawa na huyo katibu mkuu ni wazanzibari wawapelekee wazanzibar na waarabu wenzao wawapigie hizo saluti au wao hawataki madolari ya waarabu wenzao na ndugu katika imani licha ya kuuza hadi visiwa.
 
Ishu ya COVID ilikua wazi na kituko Cha dunia,wangefanya nin Zaid ya kulinda waumin wao?

Besides hakuna bandiko lolote kuhusu demokrasia na Utawala mbovu wa Magufuli ambao maaskofu walithubutu kutoa Waraka,kama upo weka hapa tuone

Hebu pitia hapa ujikumbushe kuhusu waraka wa maaskofu juu ya uminywaji wa demokrasia nchini kipindi cha Magufuli.

 
Tawala za waisramu siku zote ni hovyo
Maneno mengi vitendio hakuna
Teh teh teh

Maaskofu kumbe mnapigania Maokoto kama Yale ambayo mlipata kipindi Cha Escrow,hampati kitu safari hii hizo waraka zenu kafungien vitumbua na kiti moto tu
 
Tawala za waisramu siku zote ni hovyo
Maneno mengi vitendio hakuna
Ila hizi tawala za waislamu ndio zinafanya hata mnapata uhuru wa kulalama humu mkishashiba dona, tawala zingine watu hadi mlikimbia nchi hii, mkafutwa kazi bila ya kulipwa mafao, mlivunjiwa nyumba bila ya kulipwa fidia sasahivi ndio mmerudi bado mnarefusha midomo tu uzuri tumewazoea na unafki wenu tatizo kubwa ni uislamu na uarabu hakuna kingine
 
Waarabu wapelekeni Zanzibar na sio Tanganyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…