Mzee Kijana
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 1,442
- 1,140
Hatuwajibu wezi na mafisadi sisi. Tunaenda kuifanya bandari ijiendeshe kisayansi chini ya DP World ili majizi na mafisadi yaangukie pua.Hoja ya mkataba hamuijibu mnajificha kwenye uislamu tibaijuka kashawaambia jibuni hoja kuhusu mkataba na sio kujificha kwenye uislamu
Wacheni upuuzi wenu, mnamtisha nani?!Hawako selective..
Wako openly biased...hawajali Nani anasema nini..
Ni mavuno ya kuwaendekeza na kuwapa platforms unnecessary.....
Watu wanatazama .. ukweli unaonekana.. wanachokipanda watakivuna
Umegoma kuwa mnafiki, ajabu hilo jinga na wenzake litajidai halioni hili.TEC walitoa wakala mzito dhidi ya utawala wa Magufuli kwenye issue ya demokrasia.
Umewasahau maaskofu akina Severine niwemugizi walionyang'anywa passport?
Umemsahau askofu Bangoza?
Umemsahau Father Raymond Saba?
Umesahau Maaskofu walivyomkatalia wazi Magufuli kwenye issue ya Covid?
Mafisadi gani!? Hao walioambiwa wale kwa urefu wa kamba zao na mama yako!!?Hatuwajibu wezi na mafisadi sisi. Tunaenda kuifanya bandari ijiendeshe kisayansi chini ya DP World ili majizi na mafisadi yaangukie pua.
AU hujui kwamba magufuli aliifanyia reviw yote hadi wazungu wakatishia kususa na kutushitaki na hili pia hujui?? Hujui kabudi pia alifanya kazi gani kwenye mikataba ya migodi?? Sasa tunjadili nini kama mtu mwenyewe hujui chochote hadi vitu obvius pia unabishaTuwekee hiyo mikataba ya hovyo ya migodi hapa tuijadili, usilete story zako za kusadikika, kachezeeni akili za wajinga, kwa sasa bandari za Tanganyika zirudi, hamuwezi kuzitoa kwa mwarabu milele, hata wajukuu zako watakuja kukulaani kwa haya mawazo yako hapa.
Huu ujinga unaojadili hapa, alishawahi kuja nao mjinga mwenzio The Boss muulize akwambie kilichompata, aliwekewa waraka akaishia kujiuma uma tu kama mtoto, punguzeni ujuha na unafiki.Ishu ya COVID ilikua wazi na kituko Cha dunia,wangefanya nin Zaid ya kulinda waumin wao?
Besides hakuna bandiko lolote kuhusu demokrasia na Utawala mbovu wa Magufuli ambao maaskofu walithubutu kutoa Waraka,kama upo weka hapa tuone
Mtakuja hapa kumpigia saluti Mama Samia pale mapato ya bandari yatakapoongezeka mara kumi chini ya DP World. Kelele zenu nyingi kwa sababu mnajua mlichokuwa mnakifanya pale bandarini. Fyekelea mbali mafisadi.Mafisadi gani!? Hao walioambiwa wale kwa urefu wa kamba zao na mama yako!!?
Btn mmeshindwa kabla hamjaanza
Dunia ya sasa lazima ubia uwepo na mbia anatakiwa mwenye fedha ndio maana unaona hata team za uingereza kina shekhe mansour na wengine wanazimiliki, wewe na kelele zako huko mbande eti hutaki ubia kisa muarabuTunaojielewa kwa sasa tunazililia bandari zetu za Tanganyika zilizotolewa kwa mwarabu, wamepewa milele, hizi kelele zako za 1992 kawatafuteni wajinga huko mbali muwadanganye nazo.
Mkuu tuwekee waraka wa TEC dhidi ya Magufuli ili sisi tuliosahau tukumbuke.Huu ujinga unaojadili hapa, alishawahi kuja nao mjinga mwenzio The Boss muulize akwambie kilichompata, aliwekewa waraka akaishia kujiuma uma tu kama mtoto, punguzeni ujuha na unafiki.
Tawala za waisramu siku zote ni hovyoFriends and Enemies,
In order for the criticisms to be valid and acceptable must stand without biasness or manipulation.
Baraza la maaskofu na Cardinal PENGO in particular wamekuwa Kwa miaka mingi sana wakijipambanua kuwa ni Taasis zinazosimama na wananchi na kuwasemea Kwa niaba pale ambapo uongozi wa serikali unapofanya maamuz ambayo Yana ukakasi na yanagusa maslahi ya Taifa,ni jambo zuri na Kwa kias flan linastahili kupongezwa.
Suala ambalo Linazalisha maswali Kwa TEC na PENGO ni kwamba kwanini huwa wanakuwa kimya kwenye Regime zingine za Utawala hasa pale yanapotokea mambo ya ukakasi kwa Taifa pia?
During Benjamin Mkapa Regime tulishuhudia mauaji ya kikatili ya mwembechai,Unibinafsishaji wa mashirika ya umma na kias hata Mkapa mwenyew alikuja kukiri katika kitabu chake kuwa ni miongon mwa maamuz ya hovyo kuwahi kufanyika katika Utawala wake,hakuonekana PENGO Wala TEC wakitoa kaul wala waraka za aina yoyote.
PENGO na TEC walikuja Kushamiri sana enzi za Regime ya kikwete, kias kwamba ilipelekea Kila anachokifanya kikwete kinageuka kuwa bango la waraka zisizoisha wenye macho waliona na bila shaka wenye kumbu kumbu wanakumbuka.
Regime ya JPM ilikua na mabaya na mazuri yake kama vile zilivyokuwa Regime zingine,mfano suala la kuizika demokrasia ndan ya nchi hii na kukandamiz uhuru wa vyombo vya habari na speech, kuminya upinzan kias had kufikia baadhi ya wapinzani kupigwa risasi ndan ya viunga vya bunge na wengine kupewa kesi za uzushi na kufungwa,hatusikia Wala kuona PENGO na TEC wakisimama kuzungumza Wala kutoa Waraka zao.
Sasa kitu kinachofikirisha,pamoja na Nia Yao njema PENGO na TEC Kwa Taifa kwanin wanakuwa selective katika kusimama na wananchi katika REGIME za uongozi ndan ya Taifa hili?
Nin kinawasukuma nyuma ya Criticism zao, uchungu Kwa Taifa lao au Wana ajenda zao za Udini?
Siyo timu za Uingereza tu hata Simba na Yanga zina wawekezaji.Dunia ya sasa lazima ubia uwepo na mbia anatakiwa mwenye fedha ndio maana unaona hata team za uingereza kina shekhe mansour na wengine wanazimiliki, wewe na kelele zako huko mbande eti hutaki ubia kisa muarabu
Huna hoja wewe umefilisika.Tawala za waisramu siku zote ni hovyo
Maneno mengi vitendio hakuna
Yeye, mbarawa na huyo katibu mkuu ni wazanzibari wawapelekee wazanzibar na waarabu wenzao wawapigie hizo saluti au wao hawataki madolari ya waarabu wenzao na ndugu katika imani licha ya kuuza hadi visiwa.Mtakuja hapa kumpigia saluti Mama Samia pale mapato ya bandari yatakapoongezeka mara kumi chini ya DP World. Kelele zenu nyingi kwa sababu mnajua mlichokuwa mnakifanya pale bandarini. Fyekelea mbali mafisadi.
Ishu ya COVID ilikua wazi na kituko Cha dunia,wangefanya nin Zaid ya kulinda waumin wao?
Besides hakuna bandiko lolote kuhusu demokrasia na Utawala mbovu wa Magufuli ambao maaskofu walithubutu kutoa Waraka,kama upo weka hapa tuone
Teh teh tehTawala za waisramu siku zote ni hovyo
Maneno mengi vitendio hakuna
Kama nakuona vile povu la udini lilivyokujaa mdomoni! Fura hadi upasuke. Mama anaupiga mwingi na tupo naye hadi 2030 mtake msitake inshaallah.Yeye, mabarawa na huyo katibu mkuu ni wazanzibari wawapelekee wazanzibar na waarabu wenzao wawapigie hizi saluti.
Ila hizi tawala za waislamu ndio zinafanya hata mnapata uhuru wa kulalama humu mkishashiba dona, tawala zingine watu hadi mlikimbia nchi hii, mkafutwa kazi bila ya kulipwa mafao, mlivunjiwa nyumba bila ya kulipwa fidia sasahivi ndio mmerudi bado mnarefusha midomo tu uzuri tumewazoea na unafki wenu tatizo kubwa ni uislamu na uarabu hakuna kingineTawala za waisramu siku zote ni hovyo
Maneno mengi vitendio hakuna
Hatuwezi kuweka nchi rehani Kwa wavaa kobazi never;Watupe majibu hawa PENGO na TEC,kwanin walikuwa mabubu during Benjamin Mkapa and Magufuli Regime??
Labda utakuwa nae chumbe huko au kizi mkazi sio tanganyikaKama nakuona vile povu la udini lilivyokujaa mdomoni! Fura hadi upasuke. Mama anaupiga mwingi na tupo naye hadi 2030 mtake msitake inshaallah.
Waarabu wapelekeni Zanzibar na sio TanganyikaIla hizi tawala za waislamu ndio zinafanya hata mnapata uhuru wa kulalama humu mkishashiba dona, tawala zingine watu hadi mlikimbia nchi hii, mkafutwa kazi bila ya kulipwa mafao, mlivunjiwa nyumba bila ya kulipwa fidia sasahivi ndio mmerudi bado mnarefusha midomo tu uzuri tumewazoea na unafki wenu tatizo kubwa ni uislamu na uarabu hakuna kingine