Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Maneno tu hayo, unajua vzr tu bila ku praise and worship utakula wa chuya 🤣🤣 hasa mamb ya siasa!!AlhamduliLlah, usimtishe Muislam kula.
Tunafahamu mtowa rizki ni nani.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Faiza nakuita mara mbili unipenyezee jina langu ikulu tule asali pamojaNafahamu ukweli unawaumiza sana. Agenda yenu imebuma.
Ni aheri utumwa kuliko ushoga, au unaonaje?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Wewe bibi bado humjinga nani alikwambia kuna mtu ana shaka na uwezo wa DP? Hoja hapa ni DP kukabidhiwa bandari zetu milele hadi atakapo rudi mtumeMsukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game👇🏾
Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa AI:
Hi
Jina langu ni Amna Ghanem.
Mimi ni msimamizi (supervisor) wa uendeshaji kreni (cranes) kwa kutumia rimoti (remote control) katika bandari ya Jabel Ali inayoendeshwa na DP World, mojawapo kati ya bandari zenye shughuli nyingi Zaidi (busiest) ulimwenguni.
Unashuhudia hapa teknolojia ya hali ya juu ambayo imesaidia sana kubadilisha njia za kupakia na kushusha makontena kwenye meli.
Tunaanza na mafunzo kwa kutumia “simulators” zinazoonekana kama kitu halisi. Baada ya mafunzo ya wiki mbili kwenye “simulators” mwanafunzi anakuwa tayari kuanza kazi. Udhibiti wa mbali (remote) unaturuhusu kuendesha kreni (cranes) kutoka umbali wenye usalama kwa kutumia “joysticks” na vifungo badala ya kupanda mita 50 za ngazi kwenda juu ya kreni. Kamera zenye Vihisio (sensors) hukimbiza data kwa njia ya mtandao, ambao unatupa usalama kwa kutywezesha kufanya kazi kwa mbali lakini kama tupo karibu, chini ya vyombo hatari.
Kila siku nikifika hapa DP World naendelea kujisikia kuwa na msisimko wa kazi kwani kila kitu kinabadilika kwa haraka sana, hakuna kitu kinachooneka kipo vilevile kila kukicha.
Ushauri wangu (kwa kijana mwenzangu) ni kulenga kwenda kwenye kazi zenye ugumu, usiende kwa ajili ya wepesi wa kazi, kazi zenye ugumu zitakufanya ujielewe na kujijua wewe ni nani.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Eti Dubai ni nchi! Nilidhani sa100 alikosea kumbe ni ccm wote!DP World wapo Dar, sasa hivi wameshaanza kuweka sawa mifumo ya TEHAMA.
Unafahamu kuwa Dubai ndiyo nchi iliyoanzisha kitu kinaitwa E Government kwa asilimia kubwa na mafanikio makubwa duniani? Wanatisha kiteknolojia.
Sasa wanauleta ujuzi wao Tanzania kwa kishindo.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Of course ni lazima. Apate faida, hawezi kuwekeza kama hakuna faida. Hii ni win win win win situation.Swali kwako mtukufu, muwekezaje yeye anapata faida? Naomba kufahamu
Dah! Kwahiyo Kwako wewe ushoga na utumwa ni sawa?Hakuna heri hapo
Ni aheri utumwa kuliko ushoga, au unaonaje?
Ni maisha tu ndugu..unyongee!Kachanganyikiwa huyo... imagine na uajuza wake naye anamwita Samia mama!! Imbecile!
FaizaFoxy alias Shabiki Maandazi ! Unajishaua na kujidai kama wewe ndio agent wa DP World.Wahi mapema kutafuta kazi DP World, inalipa. Ingia hapa👇🏾
Careers | Jobs | Join Our Team
As the leading world trade enabler, DP World plays a vital role in the global supply chain, developing economies & growing prosperity. Join us today.www.dpworld.com
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Kazi za samaleko hizo nani anazitaka. Tunawajua.Msukuma alisema kweli, muone binti akishusha makontena kama anacheza video game👇🏾
Tafsiri ya Kiswahili kwa msaada wa AI:
Hi
Jina langu ni Amna Ghanem.
Mimi ni msimamizi (supervisor) wa uendeshaji kreni (cranes) kwa kutumia rimoti (remote control) katika bandari ya Jabel Ali inayoendeshwa na DP World, mojawapo kati ya bandari zenye shughuli nyingi Zaidi (busiest) ulimwenguni.
Unashuhudia hapa teknolojia ya hali ya juu ambayo imesaidia sana kubadilisha njia za kupakia na kushusha makontena kwenye meli.
Tunaanza na mafunzo kwa kutumia “simulators” zinazoonekana kama kitu halisi. Baada ya mafunzo ya wiki mbili kwenye “simulators” mwanafunzi anakuwa tayari kuanza kazi. Udhibiti wa mbali (remote) unaturuhusu kuendesha kreni (cranes) kutoka umbali wenye usalama kwa kutumia “joysticks” na vifungo badala ya kupanda mita 50 za ngazi kwenda juu ya kreni. Kamera zenye Vihisio (sensors) hukimbiza data kwa njia ya mtandao, ambao unatupa usalama kwa kutywezesha kufanya kazi kwa mbali lakini kama tupo karibu, chini ya vyombo hatari.
Kila siku nikifika hapa DP World naendelea kujisikia kuwa na msisimko wa kazi kwani kila kitu kinabadilika kwa haraka sana, hakuna kitu kinachooneka kipo vilevile kila kukicha.
Ushauri wangu (kwa kijana mwenzangu) ni kulenga kwenda kwenye kazi zenye ugumu, usiende kwa ajili ya wepesi wa kazi, kazi zenye ugumu zitakufanya ujielewe na kujijua wewe ni nani.
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Dubai ni nchi moja ya nchi ndogo ndogo kadhaa zinazounda nchi moja inayoitwa United Arab Emirates au kwa Kiswahili Umoja wa Falme za Kiarabu.Eti Dubai ni nchi! Nilidhani sa100 alikosea kumbe ni ccm wote!
Waislamu hawajawahi kuacha Udini, jaribu kwenda chuo cha mum, linganisha na St Augustine , mtu wa imani yoyote anasoma bila kuhisi shinikizo lolote la kisimani.FaizaFoxy alias Shabiki Maandazi ! Unajishaua na kujidai kama wewe ndio agent wa DP World.
Mjinga kweli wewe mfitini na mfia dini katika masuala ambayo hata hayana uhusiano na dini yako.
Acha kupandikiza chuki na chokochoko za kidini pumbafu wewe!
Mungu wa chato anaendeleaje kuzimu huko???Hao maharamia wakiarabu wana kesi kila taifa walipowekeza, kwani huko kote kwenye hayo makesi waliyofunguliwa hakuna mabinti wakuelezea teknolojia ya kushusha mizigo? Jiheshimu.
Samia ni shetani msaliti.