DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

Wewe bibi bado humjinga nani alikwambia kuna mtu ana shaka na uwezo wa DP? Hoja hapa ni DP kukabidhiwa bandari zetu milele hadi atakapo rudi mtume
 
Wewe bibi bado humjinga nani alikwambia kuna mtu ana shaka na uwezo wa DP? Hoja hapa ni DP kukabidhiwa bandari zetu milele hadi atakapo rudi mtume
Nnauhakika umedanganywa ukadanganyika.



Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Eti Dubai ni nchi! Nilidhani sa100 alikosea kumbe ni ccm wote!
 
Swali kwako mtukufu, muwekezaje yeye anapata faida? Naomba kufahamu
Of course ni lazima. Apate faida, hawezi kuwekeza kama hakuna faida. Hii ni win win win win situation.

Faida kwa. Mwekezaji faida kwa serikali, faida kwa wateja (wengi wao wafanya biashara), faida kwa wafanyakazi.

Hasara kwa wapiga dili, hasara kwa wale waliokuwa wanapata exemptions kibabe.


Mama anaupiga mwingi.
 
FaizaFoxy alias Shabiki Maandazi ! Unajishaua na kujidai kama wewe ndio agent wa DP World.

Mjinga kweli wewe mfitini na mfia dini katika masuala ambayo hata hayana uhusiano na dini yako.

Acha kupandikiza chuki na chokochoko za kidini pumbafu wewe!
 
Kazi za samaleko hizo nani anazitaka. Tunawajua.
 
FaizaFoxy alias Shabiki Maandazi ! Unajishaua na kujidai kama wewe ndio agent wa DP World.

Mjinga kweli wewe mfitini na mfia dini katika masuala ambayo hata hayana uhusiano na dini yako.

Acha kupandikiza chuki na chokochoko za kidini pumbafu wewe!
Waislamu hawajawahi kuacha Udini, jaribu kwenda chuo cha mum, linganisha na St Augustine , mtu wa imani yoyote anasoma bila kuhisi shinikizo lolote la kisimani.
 
Naona mnatumia nguvu nyingi raia hawataki huo mkataba wa kimangungo.
 
Kazi za samaleko hizo nani anazitaka. Tunawajua.
Wanaajiri kutoka mstaifa 160 duniani.

Ukiwa japo na chembe chembe za laana ya ubaguzi hapakufai.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…