Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mzee wa kutaka ushahidi, nilikwambia time will tell.Leta ushahidi
Kiburi zaidi kwa kumdharau Kikwete na kumrudisha Makonda!!Huyu mzenji Saa 100 anakiburi sana
Wapi mkuu KalamuHaya mzee wa kutaka ushahidi, nilikwambia time will tell.
Umeona ehhMi sikutaka poteza muda na mate kuupinga maana ungepitishwa tu
Bado chai?Chai hiyo[emoji2]
Ilikuwa Oct, now Nov, ikifika Nov itakuwa January!!
Njia ya kura ilishapoteza nguvu yake. Kwa sasa wanaweza kutangazwa washindi kwa idadi ya kura wazitakazo, machafuko tu ama mapinduzi ya kijeshi ndio yatarejesha heshima ya box la kura.Mimi kama mtanzania;
Mimi kama mtanganyika;
Mimi kama mkatoliki;
Mimi kama mtu mwenye utimamu wa akili;
Naisubiri ccm uchaguzi mkuu wa 2025; kama kweli dp world watatia mguu Tanzania kwa mkataba ule.
Wewe ni 'bogus' kabisa.Hujui lolote bora ukae kimya tu kama kiburi chako kinakunyima uwezo wa kupata taarifa sahihi kutoka kwa watu mbalimbali.
Mkuu TAJIRI MKUU WA MATAJIRI , asante sana kwa hii!, kiukweli kabisa JF, tuna hazina kubwa sana ya watu, tukiwatumia vizuri, tutafika mbali!, kama hii ililetwa humu September, HGA ikasainiwa October!, kazi inaanza November!, wala sikuulizi umeipata wapi!, ni kukuambia tuu asante!.
IGA ilimaliza kazi yake bungeni, ikatoa njia kwa consession na lease agreement, usidanganye watu kwamba IGA haikuwa na kazi, ilifanya kazi yake na ikamalizika kwa taratibu zote zenye kukubalika kwa mujibu wa sheria za nchi.Wewe ni 'bogus' kabisa.
Uliingia humu JF kwa hilo jina jipya kwa kusudi moja tu la DP World. Hii ina maana huu mradi wa kifisadi ulikuwa unakuhusu kwa karibu sana...
Waulize waliokuwa wanabwabwaja, oooh hauna ukomo. Kila mtu ni mjinga kwenye fani ya mwenzake. Waachiwe wenye fani za mikataba siyo wale wengine wa kesi za wizi wa mbuzi.Je suala la mkataba wa DP world limekaaje kwa sasa baada ya muda wa mkataba kuwa miaka 30
Kwa bahati mbaya wewe ni mjinga katika fani zote.Waulize waliokuwa wanabwabwaja, oooh hauna ukomo. Kila mtu ni mjinga kwenye fani ya mwenzake. Waachiwe wenye fani za mikataba siyo wale wengine wa kesi za wizi wa mbuzi.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Hivi kumbe wewe ni mjinga wa kiwango cha lami.Waulize waliokuwa wanabwabwaja, oooh hauna ukomo. Kila mtu ni mjinga kwenye fani ya mwenzake. Waachiwe wenye fani za mikataba siyo wale wengine wa kesi za wizi wa mbuzi.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wapo hapo TPA HQ ghorofa ya 36Hali ipoje?
Picha tafadhaliWapo hapo TPA HQ ghorofa ya 36
Picha ya nini?Picha tafadhali