DP World tayari imejenga "Bandari Kavu" Rwanda yenye uwezo wa kontena elfu 50, wakati bandari yetu ni ya kontena elfu 19 tu

Kwahiyo tumpe bure kwasababu hiyo sio
 
Kuna Mengi nyuma ya Pazia. St. Joseph huenda ikabomewa miaka ya mbeleni ili kupisha uwekezaji. Hasa mwekezaji Mwarabu.
 
Ni kweli kabisa DP World wamejenga bandari kavu Rwanda na nimefika pale.
Mbona hilo Ni godauni dogo sana Kama la Costco Na IKEA ... Hilo ndio limemshindwa serikali yetu? Ajabu sana hii...acheni kushabikia haya mambo - iambieni serikali ijenge hiyo dry port kubwa popote Tanzania halafu inunue ma craine ya upakuaji - sio kila kitu tunashindwa- sasa tunaweza nini Kama hata hizi storage facilities zinatusginda?!
 
Sijaelewa kitu,DP wamejenga bandsri kavu Rwanda,sasa hv wanawekeza bongo,mzigo uingie,Dar harafu usafilishwe kupelekwa Rwanda wakati ni mzigo wa Msumbiji?kwa vile TU Rwanda kuna storage kubwa?hii Haina mantiki!!
Sie tuna bandari kavu kibao,
Dodoma,Dar,Isaka,Sasa how come mzigo wa kwenda kusini upelekwe kuhifadhiwa Kaskazini Rwanda?
 
Ndio maana Kagame alitia timu ghafra tu juzi kati hapo.
 
Kontena Elfu 19 Hadi Elfu 50 hata wanasiasa Wana Ahadi tamu Sana ukiskia utatamani uchaguzi ufike ili impigie kura ....akisha chaguliwa sasa
Kwahiyo hao nao ni wanasiasa na watawala? Hivi mnakuajue watanzania....ujui kua wakishindwa kutimiza matakwa ya mkataba basi wanakua wameshindwa?
 
Rwanda hawana bandari.Kweli mwenye akili timamu container zije hapa Dar alafu ziende kuhifadhiwa Rwanda alafu badae zirudi Dar? Next to impossible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…