thetowerofbabel
JF-Expert Member
- Jul 17, 2010
- 266
- 360
Hata mchina anavyo deal na mzungu ni tofauti na anavyo deal na MwafrikaWe unaona Uingereza ipo sawa na sisi? Elimu, siasa, uwazi na uhuru wa vyombo vya habari? Ulishatizama bunge la Uingereza? Wale jamaa ni vichwa huwezi waingiza mikataba ya kijinga na hata ikitokea utawajibishwa, katiba yao imenyooka, PM wanapigiwa kura za kutoaminiwa na MPs hapa utaweza?
Kingine hizo bandari sio kubwa kwa taifa la Uingereza.
Jamaa wanahamisha goli ili tu wakubalike kwa namna walivyofanyaMKATABA
MKATABA
MKATABA
MKATABA..
Hakuna uzi murua kama huu!Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Shemeji yako.Mmiliki halali wa DP world ni nani?
Watoto wako wakiiba vijiko ndani unauza nyumba?watu wengi wanaopinga ubinafsishaji , ni watu ambao hawajui fedha zinavyoibiwa katika mashirika ya umma. yaani hawaelewi , hawajui kitu. Laiti ungejua usingepandisha mishipa kuponda suala la kubinafsisha bandari. UFI, URAFIKI, Tanganyika Parkers, Embassy Hotel,New Africa Hotel, Kilimanjaro Hotel, Air Tanzania, Sigara, Kampuni ya bia, NARCO, Yooote hayo yanakufa ni wizi na ubadhilifu katika mashirika ya umma.
unaetetea kutobinafsisha hujui lolote kuhusu waswahili. cha muhimu mkataba uwe na gawio stahili kwa nchi baaaasi. lakini kumuweka mswahili pale, yuko tayari kuuza crane apate hele ada ya Fesa Boys
Sawa Juha.Wewe ni mjinga huniambii akili zako zinaishia uko porini
Hujui hawa majangili ya kiarabu yamesitishiwa mikataba nchi nyingi kwa ufisadi na kufanya ujangili
Watanganyika wengi mna low iq ndio maana mnatawaliwa na watu wenye uwezo mdogo
Hiloooo,aibuuuuuuu!Shemeji yako.
hatuuzi, tunabinafshisha uendeshaji. cha muhimu mswahili asikae pale , ukimuona kafunga tai , utadhani utendaji wa maana, hamana kitu, wizi mtupuWatoto wako wakiiba vijiko ndani unauza nyumba?
The GENTAMYCINE I know, ha hahaaaa!!!....yako.
Thinking Kubwa kama hi yako kamwe usitegemee Lumpen Proletariat kama uwe hodari akawa nayo.watu wengi wanaopinga ubinafsishaji , ni watu ambao hawajui fedha zinavyoibiwa katika mashirika ya umma. yaani hawaelewi , hawajui kitu. Laiti ungejua usingepandisha mishipa kuponda suala la kubinafsisha bandari. UFI, URAFIKI, Tanganyika Parkers, Embassy Hotel,New Africa Hotel, Kilimanjaro Hotel, Air Tanzania, Sigara, Kampuni ya bia, NARCO, Yooote hayo yanakufa ni wizi na ubadhilifu katika mashirika ya umma.
unaetetea kutobinafsisha hujui lolote kuhusu waswahili. cha muhimu mkataba uwe na gawio stahili kwa nchi baaaasi. lakini kumuweka mswahili pale, yuko tayari kuuza crane apate hele ada ya Fesa Boys
Thanks for the Credits Chief na nimeuanzisha huu Uzi ili Masikini wa Akili na Kufikiri wanaoongozwa na uwe hodari nao wawe na Utajiri wa Akili na Maarifa kama tulionao Wengine.Hakuna uzi murua kama huu!
Imagine
Watu wanalia TOZO.
Solution ya Tozo ni kuondoa ule ujinga unaifanyika pale Bandarini!
Hapa TRA wajipange tu vizuri kwa kufanya moderation ya kodi kwa baadhi ya Bidhaa kwa Sababu DP wao hawamutani na Mtu.
Ni Mashine tu inascan na kukutolea Assessment kule!
Sasa kuna kitu kimoja watu hawakijua.
Serikali ikiwa na uwezo wa kukusanya Mapato makubwa na kuweza kutoa huduma zote muhimu kwa watu wake ndipo sasa UZALENDO UNAKUWA DHAHIRI kwa Sababu kila mtu atapenda kulinda maslahi ya Nchi isishindwe kuhudumia wananchi wake vizuri kama ambavyo imeweza!
Saa hizi unakuta kuna ujinga mwiiingi kule Bandarini na watu wachache wanaweza kununua vigari viwili vitatu halafu tunasema acha vijana wetu wapate kazi huko Bandarini!
Hakuna!
Tumeambiwa Bandari inapaswa kutuingizia Trillion 2 kwa Mwezi -ikiwa Bandari pekee itatupa iyo 2T maana yake tutafika 4T...sasa Kuna kitu gani tutashindwa kama Nchi?
Huu Mradi na uje hata kesho!!
Kwani mkataba wa waingereza unasemaje?
Pesa inaibiwa kila mwaka mawizarani, tubinafsishe wizara zote na Ikulu kuzuia wizi?watu wengi wanaopinga ubinafsishaji , ni watu ambao hawajui fedha zinavyoibiwa katika mashirika ya umma.
Kumbuka bongolala na check & balance yake😂Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Ujinga ujinga tu watu hawakatai wawekezaji kisichotakiwa ni aina ya uwekezajiYaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.