Unatuuliza sisi?Hio mkataba wa DPW wa uendeshaji bandari uko wapi?
Waulize wenzio huko lumumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatuuliza sisi?Hio mkataba wa DPW wa uendeshaji bandari uko wapi?
Kuna.mijitu hainaga.akili halafu inajisifu imetokea Ukerewe🤣Chawa hatumii akili. Yeye Ni kusifu na kuabudu tu.
Ukimuona anasoma kitu ujue Ni gazeti la udaku.
Chawa hawapendi kusumbua akili zao. Akiambiwa saini hapa, yeye anamwaga wino tu.
Akiambiwa saini hapa, yeye anamwaga wino tu.
Hakika amewaangusha Sana watu wa Mara.Kuna.mijitu hainaga.akili halafu inajisifu imeyokea Ukerewe🤣
Hakika amewaangusha Sana watu wa Mara.
GENTAMYCINE na Waitara akili moja.
Umewasahau wafuasi wa JiweUko sahihi popoma. Bongo ina uhaba mkubwa wa wananchi wanaojielewa. Ukitoa makundi yafuatayo unaweza kukuta hata hao wanaojitambua 50k hawafiki;
1. Wafuasi wa Da Mange.
2. Wafuasi wa Mdude Chadema.
3. Wafuasi wa Dr Babutale.
4. Wafuasi wa manabii feki.
Mjadala ufungwe😃Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Weee vipi? Wee ndo uelewi! Shida sio Dp world! Shida ni mkataba kandamizi na kinyonyaji! Uingereza mkataba wao ni kutanguliza maslahi ya Uingereza kwanza na baadaye mwekezaji! Hapa Bongo kwanza walitanguliza rushwa kwa serikali (SSH), wakaja wabunge, wakaha kwa waandishi wa habari! Baada ya hapo wakapitisha mkataba kandamizi! Hawa viongozi tulionao woote wamehongwa na hawajitambui!Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
Kamwambie mamakoKichwa kikubwa ubongo wa sisimizi
Acha kunililia hapa. Mimi sio mzazi wako.Wabongo tuko sawa, usitulazimishe kuamini ujinga. Tena sasa hivi ndo tupo active sana. Kwani mikataba mingapi mikubwa imepita huko nyuma na tulipigwa? Acha kujisahaulisha na kuita wabongo wenzako wajinga. Huna werevu wowote wewe. Tunahoji kwa maslahi yetu sote na sio ujinga, hizo ni rasilimali za taifa.
Mhhh Genta ni ww kweli umeandika huu uzi au mchepuko wako kadandia simu yako?😳😳😳😳Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.
DP World wawepo Uingereza ni sawa na mkataba unafanana na uliopelekwa Dodoma kupitishwa na Joseph Musukuma?Yaani DP World wawepo hadi nchi kubwa ya watu wanaojitambua Duniani ya Uingereza halafu Waswahili wa Tanzania tuikatae?
Taratibu sasa naanza kuamini kuwa huenda Taifa letu lina bahati ya kuwa na population kubwa ya watu Milioni 61 na Vyuo Vikuu vingi ila wanaojielewa hasa wakawa hawazidi hata elfu hamsini (50,000).
Yaani DP World ashindwe kuharibu nchi ya Uingereza aliyomo (kiuwekezaji wa bandari) na nchi zingine 36 halafu akija Uswahilini Tanzania asiweze kufanya vyema huko aliko na alikofanya vyema?
DP World wapewe bandari tafadhali.