Walishapewa na ufanisi ukawa ziro na kufuja kwa fujo.Watanganyika wamekataa huu mpango ,mpeni hata mzawa itakua safi sana
Uzawa hauna maana kiuchumi kama hauleti tija na inakuwa shamba la bibi.Treni hiyo imeshatoka stesheni endeleeni kuota.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishapewa na ufanisi ukawa ziro na kufuja kwa fujo.Watanganyika wamekataa huu mpango ,mpeni hata mzawa itakua safi sana
TrueWafanyakazi hapo wakae mguu sawa
Ova
Sio mchezo kazi wanayoWale wazee wa tpa wa kuingia kazini saa mbili kupiga dili kwenda kula lunch kwa shilole sijui wanarudi saa tisa kazini
Kazi wanayo
Ova
Haki sawa kwa woteeee!!!MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imesema kampuni ya DP World ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeanza kushusha vifaa katika Bandari ya Dar es Salaam kuanza uwekezaji.
Aidha, TPA imebainisha kuwa makabidhiano ni tangu Aprili 7, mwaka huu bila kuathiri uendeshaji wa bandari hiyo. Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Mrisho alisema hayo Dodoma akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Plasduce Mbossa katika Mkutano wa 13 wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).
Mrisho alisema DP World ambao wataendesha gati namba moja hadi saba, wameshusha meli nzima yenye vifaa vya kisasa ikiwamo mashine nane za RTG, mashine nyingine 19 za kushusha kontena, jenereta kubwa za kuendesha mashine hizo na mashine nyingine nne ziko njiani.
Endelea kuota. Angalizo usijinyee tafadhali.Haki sawa kwa woteeee!!!
Mimi na timu yangu tumetumwa na Mheshimiwa Raisi wa Tanganyika huku Saudi Arabia kuingia mkataba kati ya bandari ya Zanzibar na kampuni iitwayo kanjanja port limited ya hapa Saudia!!
Hao uingereza wanamikataba kama mliosaini ninyi?Uingereza wamewatumia DP World wao nao hawana akili? Dunia imebadilika hata Mwalimu alishajua sera za Ujamaa zimefeli akaacha mabadiliko yaendelee.
Umeumia sana. Pole. Jikite kwenye mada. Treni mwisho wake ni kuwa dodo ndio litakuwa na mchanga🤔.Wananchi wangapi?Una interest na Bandari na mkate umemwagiwa mchanga?Kelele zako binafsi hazisaidii chochote na kama mkataba umekupa tabu sana nenda kwa Mangi nunua kamba cha kufanya unajua. Mimi nitalipia hiyo kamba.
Hiyo treni imeshaondoka stesheni ndio sababu nikakuuliza bandari gani?Endelea kupiga domo.
Ukweli ni kwamba Vifaa hivyo vimelipiwa na Serikali yetu-Fedha zetu. Watanzania.Hivyo vifaa vinajulikana na tulikuwa na uwezo wa kuvileta, tatizo mafisadi wapo kazini
Si wewe ulikuwa unaulizia kama vimelipiwa kodi?Njaa inasababisha usahaulifu.Ukweli ni kwamba Vifaa hivyo vimelipiwa na Serikali yetu-Fedha zetu. Watanzania.
Bandari yetu ikiweza kushusha mzigo kwa siku Moja hayo ni maendeleo makubwa na labda mizigo ya nchi jirani itaongezeka sana ishu kubwa itabaki sisi tunapata mgao kiasi gani na DP wanapata ngapi na kwa muda gani watakaa nasiChadema wamewanywesha kangara hata tafakari hamna tena!, kila jambo ni kulaumu kwa uchungu tu,bila akili.
::Tunataka kuona tija ya maboresho haya, kama taifa.
Amewagawia mashoga zake wa Dubai in Lissu's voiceTutajua vipi kama wamelipia Ushuru stahiki?
Kazi kweli.
Tumewagawia Bandari zote. Eh Mungu wee.
Kununua Vifaa na kulipa kodi ni vitu viwili tofauti. Na hata kwenye utaratibu wa Serikali kununua Vifaa, ni lazima mchakato huo uhusishe na Ushuru na forodha-hata kama watajisamehe kodi.Si wewe ulikuwa unaulizia kama vimelipiwa kodi?
Serikali. Ni ya Baba yako?Njaa inasababisha usahaulifu.
Serikali yenu ipi?
Unaongea vitu ambavyo haviwezekani-Mimi ni CCM, I bleed green. 👃🏾👅😂😂😂😂😂🙌🏾Chadema mna Serikali?Wacha kujitia ukichaa kwa kuingiza ulimi puani.
😂😂😂😂😂Amewagawia mashoga zake wa Dubai in Lissu's voice
Mkuu nipe email yako nikutumie clip niliyoirekodi kwa simu yangu ikionesha meli iliyobeba baadhi ya mashine kazi za pale Bandarini ikiwasili. Ilikuwa ni three weeks ago.😁 Kwenye hili atanisamehe tu. Hii "Transparency" waliotuuzia, waanze kuionyesha kwenye Meli iliyoingia na shehena zake.
Ilikua ni gati mbili tu sasa tunaambiwa ni gati namba 1 hadi 7. sasa hapo wamebakiza nini. Sisi tunasema wanamapinduzi wakirejea kwenye kuongoza nchi tutaitosa DP maana ni mchongo wa vigogo na ni ukoloni mtupu. Tunaju ujio wa DP ni kama ule wa loliondo. Waarabu wanakuja kutubia na kuvuruga nchi yetu kwa kuwahonga viongozi. Ukiangalia loliondo hujui nini nchi inapata wala kitalu hua hakitangazwi tenda muda ukifika. Wanacorrupt jamii yetu tu.MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imesema kampuni ya DP World ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeanza kushusha vifaa katika Bandari ya Dar es Salaam kuanza uwekezaji.
Aidha, TPA imebainisha kuwa makabidhiano ni tangu Aprili 7, mwaka huu bila kuathiri uendeshaji wa bandari hiyo. Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Mrisho alisema hayo Dodoma akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Plasduce Mbossa katika Mkutano wa 13 wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).
Mrisho alisema DP World ambao wataendesha gati namba moja hadi saba, wameshusha meli nzima yenye vifaa vya kisasa ikiwamo mashine nane za RTG, mashine nyingine 19 za kushusha kontena, jenereta kubwa za kuendesha mashine hizo na mashine nyingine nne ziko njiani.
Mshahara unabadilika au ule ule?Mkuu nipe email yako nikutumie clip niliyoirekodi kwa simu yangu ikionesha meli iliyobeba baadhi ya mashine kazi za pale Bandarini ikiwasili. Ilikuwa ni three weeks ago.
Tatizo wabongo hamtaki kufatilia vitu ila mnajikuta wajuaji. Mpaka sasa watumishi 253 kutoka TPA wamehamia DPW na mshahara wa mwezi wa nne wamelipwa na DPW.
KARIBU.
Endelea na ndoto zako na so called wanamapinduzi wa kwenye njonzi.Angalizo chunga usijinyee.Ilikua ni gati mbili tu sasa tunaambiwa ni gati namba 1 hadi 7. sasa hapo wamebakiza nini. Sisi tunasema wanamapinduzi wakirejea kwenye kuongoza nchi tutaitosa DP maana ni mchongo wa vigogo na ni ukoloni mtupu. Tunaju ujio wa DP ni kama ule wa loliondo. Waarabu wanakuja kutubia na kuvuruga nchi yetu kwa kuwahonga viongozi. Ukiangalia loliondo hujui nini nchi inapata wala kitalu hua hakitangazwi tenda muda ukifika. Wanacorrupt jamii yetu tu.
Ccm wamekubali kwamba DP World wana akili kuwazidi wao wote pamoja na mwenyekiti wao. Kama DP World wanaweza kuendesha bandari kwa ufanisi kwanini serikali ya ccm isiweze? Hawastahili kuwepo madarakani kabisa.