DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

Kununua Vifaa na kulipa kodi ni vitu viwili tofauti. Na hata kwenye utaratibu wa Serikali kununua Vifaa, ni lazima mchakato huo uhusishe na Ushuru na forodha-hata kama watajisamehe kodi.

Ndio Nimeuliza kama shehena zilizofika na meli tajwa Vimelipiwa kodi. Kinachokuuma ni nini?

Serikali. Ni ya Baba yako?

Unaongea vitu ambavyo haviwezekani-Mimi ni CCM, I bleed green. 👃🏾👅😂😂😂😂😂🙌🏾
Hakuna CCM anayemshabikia Lissu. Bleeding green does not make you a staunch CCM member.Wewe ni mamluki tu na maslahi yako yameguswa unatapatapa.Unakashifu Serikali huku ukijinadi eti Serikali yetu.Dumb head.Show your true colors.
 
Imagine, kanchi ka watu 2 million ambacho kanategemea human resources za nchi nyingine kujiendesha leo ndiko anakuja kutuendesha sisi million 64.
Hawa maCCM ni bure kabisa.
Hiyo Nchi unayoisema ina watu milioni mbili inaendesha Bandari kwenye First World Countries kama Belgium na,England itakuwa sembuse sisi?Au na wao hawana akili huku wanatupa misaada kila kukicha.Mantiki ya hoja yako ni nini?
 
Juhudi zote hizi zilete ongezeko la mapato kwa taifa na si vinginevyo!
Tungefurahi kuona tunapatiwa update za ongezeko la mapato kila wakati bila kupikwa kisanii.
Kwani hata wakipika data mpumbavu kama wewe utahoji nini? Mapato yapi unategemea kama hata mkataba wenyewe hujui unasemaje? Nchi hii kuiongoza ni rahisi sana maana wapumbavu kama wewe mpo wengi sana
 
Lissu angeweza kuendesha na kababu kake ka ubelgiji! 😁😁
Unapokuwa shabiki namna hii hata katika maswala yasiyohitaji ushabiki..., nakusikitikia sana.
Lissu hajawahi kuwa na madaraka, kama waliyonayo CCM, na wametuonyesha kwa miongo kadhaa kwamba hakuna kazi wanayoiweza.
Nchi inashindwa kuendesha bandari yake kwa ufanisi; itaweza jambo gani?
 
Hiyo Nchi unayoisema ina watu milioni mbili inaendesha Bandari kwenye First World Countries kama Belgium na,England itakuwa sembuse sisi?Au na wao hawana akili huku wanatupa misaada kila kukicha.Mantiki ya hoja yako ni nini?
Hujaelewa.
Belgium au Great Britain hawakushindwa kuendesha bandari zao, kama tunavyo shindwa sisi; hiyo ni tofauti kubwa sana kati yao na sisi. Wao wana sababu tofauti kabisa na sababu zetu.

Na hiyo nchi unayosema ina milioni mbili, ni nchi ambayo hutegemea watu toka nje kuwafanyia kazi, siyo wao wanaofanya hizo kazi. Sisi na milioni 60 yetu ka nini tusifanye kazi zetu wenyewe.
 
Kwani hata wakipika data mpumbavu kama wewe utahoji nini? Mapato yapi unategemea kama hata mkataba wenyewe hujui unasemaje? Nchi hii kuiongoza ni rahisi sana maana wapumbavu kama wewe mpo wengi sana
Pole sana umevurugika ndani ya ubongo wako, Umejibu very general, umeonyesha hakuna unachoamini ndani ya serekali kinaendeshwa kihalali na kwa ukweli, mpaka wewe binafsi uwepo ndipo mambo yatakwenda kwa haki, that mean, hata bajeti huwa wa uongo, ripoti mbali mbali zote huwa uongo, majadiliano ya Bunge huwa ya uongo, chadema mna safari ndefu sana, acheni bange!
 
Walishapewa na ufanisi ukawa ziro na kufuja kwa fujo.
Uzawa hauna maana kiuchumi kama hauleti tija na inakuwa shamba la bibi.Treni hiyo imeshatoka stesheni endeleeni kuota.
Wapeni JKT
 
Mkuu, you have a preset and prejudice mindset. your bigoted and racist view is well documented here on JF.
Uhasama wako dhidi ya mtu mweusi unaeleweka. Itoshe, huna hoja.
Wewe ndio ulioanza na comment mbovu ambayo unajifunga mwenyewe
Unaposema utajuaje kama wamelipa kodi stahiki
Sasa anaekusanya kodi stahili sio mtanzania? Tena mwenye dhamana?

Mimi sijaongea kibaguzi bali najua tulivyo na wewe unajua hela za umma zinavyopigwa na huyo huyo mtz tena watu wakubwa kabisa
Usingeandika hayo usingepata jibu hilo
 
Uingereza wamewatumia DP World wao nao hawana akili? Dunia imebadilika hata Mwalimu alishajua sera za Ujamaa zimefeli akaacha mabadiliko yaendelee.
Nilikuta DP World Singapore wana Ship dry docking and ship repair Business .Wako vilevile Indonesia.DP imekuwa kama Coca-Cola their spreading very fast globally.
Kitu muhimu kama taifa ni kuhakikisha wanufaika kwa mapana ni wananchi kwa ujumla wetu,kitekinologia,ajira zenye mashiko,subcontract businesses kwa makampuni za wazawa,mapato ya kodi n.k
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya mama shupavu mpenda mabadiliko makubwa kiuchumi wa taifa na wananchi wake makampuni kama DP WORLD ni Moja ya suluhisho katika kukuza uchumi wa nchi pamoja na wananchi wake, suala la ajira ni tatizo na njia pekee ni kuwavuta wawekezaji wengi wakiwemo DP WORLD ili Watanzania wapate ajira na kukuza uchumi wetu.KARIBUNI SANA DP WORLD TANZANIA.
 
Aise,wanyakazi bandari there stomach is 🔥 hot 😄 very very 🔥

Ova
 
Serikali ya awamu ya sita chini ya mama shupavu mpenda mabadiliko makubwa kiuchumi wa taifa na wananchi wake makampuni kama DP WORLD ni Moja ya suluhisho katika kukuza uchumi wa nchi pamoja na wananchi wake, suala la ajira ni tatizo na njia pekee ni kuwavuta wawekezaji wengi wakiwemo DP WORLD ili Watanzania wapate ajira na kukuza uchumi wetu.KARIBUNI SANA DP WORLD TANZANIA.
Hakuna cha ajira hapo labda umesenja na ukuli
Nyie mpewe kitengo muibe ngoja
Mwarab aanze kuwanyoosha

Ova
 
Ni wakina nani wanaopangisha pango kwa muda wa miaka 30? Sawa basi, utasema wanataka kurudisha fedha zao $250 Millioni? Tanzania tumetumia takribani $800 millioni-kwanini tusingesubiri hiyo mika 30 turudishe Investmens zetu?

Kwamba sasa na mhindi kapewa kipande basi kuna uhalali wa DPW nae kuendelea? 'Mdosi' ana mkataba kama wa IGA? 'Mdosi' nae anapangishwa kwa miaka 30?

Na hiyo, ni kwasababu za makelele ya Wapenda Nchi. hatahivyo, Initially according to the agreement kati ya Serikali yetu na DPW, ambamo Serkali inapaswa kuwaeleza na kupata ridhaa kutoka DPW upo uwezekano mkubwa kwamba hawa ni ma sub contractors, na kwasababu mkatabu huu umebubujikwa na Usiri after the fact, hatuezi kujua nini kimefanyika-ama unataka kusema walibadilisha vipengele vya masharti?

Wewe ndie unasema imeuzwa, mimi nasema, wamegawiwa. Justification ya kugawiwa bandari yetu ambayo ina changia 40% ya mapato ya Serikali yetu is Unfathomable, ni vigumu kuelewa. Je, kuna rushwa? au Upendeleo kwa wajomba?


Hizo nchi wana vyanzo vingi vya mapato, hizo bandari zao sidhani vinachangia 40% ya mapato ya Serikali kama ilivyo Tanzania, na itoshe wamo wabia wengi ndani ya DPW waliotoka kwenye hizo nchi-Tanzania tuna wabia wangapi?
Miaka 30 ni mkataba unavyoandikwa kumbuka kuwa humu katikati watakuwa wanatazamwa ufanisi wao upo vipi, sawa sawa na TICTS walivyoonekana hawakidhi viwango na wakapigwa chini.

Hakuna anayepewa bure bandari, huu n mfumo mpya wa uendeshaji wa bandari ambao hapa kwetu tunaona ni kitu kipya kwa sababu ya masalia ya akili na mawazo ya kijamaa yaliyotuganda vichwani kwa muda mrefu.

Hao ni wapangaji wanaoingia mikataba na TPA sawa sawa na mwenye nyumba anavyoingia mikataba na wapangaji wanaokwenda kuishi kwenye nyumba yake.

Kupangishwa kwa DPW na hao wadosi lengo ni kuongeza ufanisi hapo bandarini na kuondoa urasimu wa kuchelewesha ushushaji na upakiaji wa mizigo, pia tukumbuke kwamba kuna SGR inayoanza kazi hivi karibuni matarajio ni kuwepo kwa ongezeko la mzigo unaoingia Tanzania bara na kutoka kwa wingi,

Ongezeko la volumes linailazimisha serikali kuu kupitia TPA Kujiongeza katika kupanua shughuli za uzalishaji hapo bandarini. Hiyo bandari bado haijachangia pato kuu la serikali inavyopaswa iwe.

Tujitahidi tuondokane na hizi fikra za kijamaa zilizopitwa na wakati za kudhani kuwa kila uwekezaji una lengo la kutuibia rasilimali zetu.
 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
 
Back
Top Bottom