DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

Watanganyika wamekataa huu mpango ,mpeni hata mzawa itakua safi sana
Walishapewa na ufanisi ukawa ziro na kufuja kwa fujo.
Uzawa hauna maana kiuchumi kama hauleti tija na inakuwa shamba la bibi.Treni hiyo imeshatoka stesheni endeleeni kuota.
 
Haki sawa kwa woteeee!!!
Mimi na timu yangu tumetumwa na Mheshimiwa Raisi wa Tanganyika huku Saudi Arabia kuingia mkataba kati ya bandari ya Zanzibar na kampuni iitwayo kanjanja port limited ya hapa Saudia!!
 
Haki sawa kwa woteeee!!!
Mimi na timu yangu tumetumwa na Mheshimiwa Raisi wa Tanganyika huku Saudi Arabia kuingia mkataba kati ya bandari ya Zanzibar na kampuni iitwayo kanjanja port limited ya hapa Saudia!!
Endelea kuota. Angalizo usijinyee tafadhali.
 
Umeumia sana. Pole. Jikite kwenye mada. Treni mwisho wake ni kuwa dodo ndio litakuwa na mchangaπŸ€”.

Kamsikilize Tundu Lissu ukalale.
Aisee, hasira za nini bwasheeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ukweli ni kwamba Vifaa hivyo vimelipiwa na Serikali yetu-Fedha zetu. Watanzania.
Si wewe ulikuwa unaulizia kama vimelipiwa kodi?Njaa inasababisha usahaulifu.
Serikali yenu ipi?Chadema mna Serikali?Wacha kujitia ukichaa kwa kuingiza ulimi puani.
 
Chadema wamewanywesha kangara hata tafakari hamna tena!, kila jambo ni kulaumu kwa uchungu tu,bila akili.
::Tunataka kuona tija ya maboresho haya, kama taifa.
Bandari yetu ikiweza kushusha mzigo kwa siku Moja hayo ni maendeleo makubwa na labda mizigo ya nchi jirani itaongezeka sana ishu kubwa itabaki sisi tunapata mgao kiasi gani na DP wanapata ngapi na kwa muda gani watakaa nasi
 
Si wewe ulikuwa unaulizia kama vimelipiwa kodi?
Kununua Vifaa na kulipa kodi ni vitu viwili tofauti. Na hata kwenye utaratibu wa Serikali kununua Vifaa, ni lazima mchakato huo uhusishe na Ushuru na forodha-hata kama watajisamehe kodi.

Ndio Nimeuliza kama shehena zilizofika na meli tajwa Vimelipiwa kodi. Kinachokuuma ni nini?
Njaa inasababisha usahaulifu.
Serikali yenu ipi?
Serikali. Ni ya Baba yako?
Chadema mna Serikali?Wacha kujitia ukichaa kwa kuingiza ulimi puani.
Unaongea vitu ambavyo haviwezekani-Mimi ni CCM, I bleed green. πŸ‘ƒπŸΎπŸ‘…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎ
 
Amewagawia mashoga zake wa Dubai in Lissu's voice
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mpaka hapa tulipofika, wanasema akemewe, atengwe walakin hakuna anayesema, amesema uwongo!

Pamoja na Yote, kwa suala hili wacha Lissu atumbue jipu tu.
 
Walisema 3 mpaka 7 Leo washaongeza ghafra bila taarifa?
 
Mbona hatujaona hafla ya makabidhiano?

Yaani tupokee ndege kwa hafla na live coverage afu DP wedi wapewe kimya kimya. Hii sio sawa.

Tunaomba irudiwe, ili mafanikio yakiuoneka historia ituoneshe. Kinyume chake pia.
 
😁 Kwenye hili atanisamehe tu. Hii "Transparency" waliotuuzia, waanze kuionyesha kwenye Meli iliyoingia na shehena zake.
Mkuu nipe email yako nikutumie clip niliyoirekodi kwa simu yangu ikionesha meli iliyobeba baadhi ya mashine kazi za pale Bandarini ikiwasili. Ilikuwa ni three weeks ago.
Tatizo wabongo hamtaki kufatilia vitu ila mnajikuta wajuaji. Mpaka sasa watumishi 253 kutoka TPA wamehamia DPW na mshahara wa mwezi wa nne wamelipwa na DPW.
KARIBU.
 
Ilikua ni gati mbili tu sasa tunaambiwa ni gati namba 1 hadi 7. sasa hapo wamebakiza nini. Sisi tunasema wanamapinduzi wakirejea kwenye kuongoza nchi tutaitosa DP maana ni mchongo wa vigogo na ni ukoloni mtupu. Tunaju ujio wa DP ni kama ule wa loliondo. Waarabu wanakuja kutubia na kuvuruga nchi yetu kwa kuwahonga viongozi. Ukiangalia loliondo hujui nini nchi inapata wala kitalu hua hakitangazwi tenda muda ukifika. Wanacorrupt jamii yetu tu.
 
Mshahara unabadilika au ule ule?
 
Endelea na ndoto zako na so called wanamapinduzi wa kwenye njonzi.Angalizo chunga usijinyee.
 
Ccm wamekubali kwamba DP World wana akili kuwazidi wao wote pamoja na mwenyekiti wao. Kama DP World wanaweza kuendesha bandari kwa ufanisi kwanini serikali ya ccm isiweze? Hawastahili kuwepo madarakani kabisa.

Imagine, kanchi ka watu 2 million ambacho kanategemea human resources za nchi nyingine kujiendesha leo ndiko anakuja kutuendesha sisi million 64.

Hawa maCCM ni bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…