makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
😭😭😭HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Sema tu kwa uhuru, Kizimkazi gawio la 3% la gross profit. Kupanga ni kuchagua.Zikamziki gawio la 3% katika faida ghafi kila mwaka.
Uyasemayo ni kweli tupu wafanyakazi wa tpa shuhuli hawana tena pale•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port
•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)
•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port
•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku
•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma
•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita
•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE
•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA
•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .
•Mkataba wa muarabu una pensheni pia
Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Tuelimishanee
BABA CATHE
Prem 96
Pale kuna wafanyakazi zaidi ya 500 je huko mikoani wataweza kutosheleza wote????Kwa mfanyakazi bora kubaki TPA wakuhamishie huko kigoma au Rukwa maana hao walizoea kazi kwa mazoea akitamani huo mpunga mrefu basi akubali mziki wa private
Mbona ujataja Berth Zero - Kwa ajili ya magari. Hii pia imeenda 😀•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port
•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)
•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port
•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku
•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma
•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita
•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE
•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA
•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .
•Mkataba wa muarabu una pensheni pia
Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Tuelimishanee
BABA CATHE
Prem 96
mbona dawa ni ndogo tu kama ameichukua jumla, kuitafuta Tanganyika hadi ipatikane, halafu mwarabu ataitafuta Tanzania aliyoingia nayo mkataba, atembee kwa mguu hadi dubai juu ya maji (kidding), though kama anaongeza maslahi na kama ataongeza kweli ufanisi, ngoja tumwangalie anachofanya, aifanye bora kama zile za dubai hapo labda tutamsamehe.•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port
•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)
•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port
•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku
•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma
•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita
•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE
•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA
•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .
•Mkataba wa muarabu una pensheni pia
Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Tuelimishanee
BABA CATHE
Prem 96
Kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo naunga mkono sekta nyingi tu zibinafisishwe ili kizazi kijacho kiadopt utendaji kazi wa wenzetu sio huu ujinga wa kiafrica uliopo sasaKuna jamaa yangu yupo bandari, anasema mwarabu yupo serious, malipo mazuri, ila hataki masihara kazini, mixer msosi kazini, utendaji wa kazi upo systematic sio awali walikuwa wanajifanyia fanyia tu.
Dsm kutamu mduguKwa mfanyakazi bora kubaki TPA wakuhamishie huko kigoma au Rukwa maana hao walizoea kazi kwa mazoea akitamani huo mpunga mrefu basi akubali mziki wa private
Mzanzibari kutengeneza chawa wa kitanganyika ili kuuza Tanganyika kwa wajomba zake. Tuamke wenye akili zetu timamu tuikomboe tena Tanganyika yetu•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port
•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)
•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port
•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku
•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma
•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita
•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE
•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA
•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .
•Mkataba wa muarabu una pensheni pia
Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Tuelimishanee
BABA CATHE
Prem 96
Ni muda tu utasema Mzee nakuhakikishia kuna watu wamekaa kimya ngoja washike madaraka utakuja kuniambia•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port
•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)
•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port
•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku
•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma
•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita
•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE
•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA
•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .
•Mkataba wa muarabu una pensheni pia
Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Tuelimishanee
BABA CATHE
Prem 96
Hapo kwenye mkataba wa awali ndio kwenye mtego.•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port
•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)
•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port
•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku
•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma
•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita
•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE
•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA
•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .
•Mkataba wa muarabu una pensheni pia
Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA
Tuelimishanee
BABA CATHE
Prem 96
ndio maana kuna redundancyPale kuna wafanyakazi zaidi ya 500 je huko mikoani wataweza kutosheleza wote????
Kusema hivyo ndio maana ya kunichukua jumla?Wafanyakazi walihoji baada ya hiyo miaka 30 tutaenda wap ?
Muarabu:msiwe na hofu mm nipo na nitaendelea kuwepo kwa zaidi ya hiyo miaka 30