DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

DP World yashusha meli nzima ya vifaa bandarini, TPA wasema walishakabidhiana tangu April 7

msiwatishe waache wajiunge na mwarabu waachane na upuuzi wa kikokotoo, kama mwarabu anaboresha maslahi kwa asilimia 60 juu ya wanachopata Mungu awape nini tena? wakimbilie kwa mwarabu nchi imeshauzwa hiyo wanaojifanya kukomaa peleka nyasa huko na mwanza.
 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
Uyasemayo ni kweli tupu wafanyakazi wa tpa shuhuli hawana tena pale
 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
Mbona ujataja Berth Zero - Kwa ajili ya magari. Hii pia imeenda 😀
Halafu unavyosema vifaa vya kisasa...umeona tafauti yake na vifaa vilivyopo?
 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
mbona dawa ni ndogo tu kama ameichukua jumla, kuitafuta Tanganyika hadi ipatikane, halafu mwarabu ataitafuta Tanzania aliyoingia nayo mkataba, atembee kwa mguu hadi dubai juu ya maji (kidding), though kama anaongeza maslahi na kama ataongeza kweli ufanisi, ngoja tumwangalie anachofanya, aifanye bora kama zile za dubai hapo labda tutamsamehe.
 
Kuna jamaa yangu yupo bandari, anasema mwarabu yupo serious, malipo mazuri, ila hataki masihara kazini, mixer msosi kazini, utendaji wa kazi upo systematic sio awali walikuwa wanajifanyia fanyia tu.
Kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo naunga mkono sekta nyingi tu zibinafisishwe ili kizazi kijacho kiadopt utendaji kazi wa wenzetu sio huu ujinga wa kiafrica uliopo sasa
 
Soon or later its inevitable litapita fagio la Chuma..., Automation haiitaji manpower kubwa...; Cha kujiuliza sisi hizo Automation tunashindwa kuzifanya hadi aje aziweke mwingine ? Usiniambie mbona hata UK amefanya nitakuuliza huyo UK ana un-employment kama yetu ?

 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
Mzanzibari kutengeneza chawa wa kitanganyika ili kuuza Tanganyika kwa wajomba zake. Tuamke wenye akili zetu timamu tuikomboe tena Tanganyika yetu
 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
Ni muda tu utasema Mzee nakuhakikishia kuna watu wamekaa kimya ngoja washike madaraka utakuja kuniambia
 
•Tayari wamechukua udhibiti wa mzizima port

•Wanaendelea kuleta vifaa vyao vya kisasa zaidi (of course ni vya kisasa)

•Wamechukua GATI number 1 mpaka 7 kwa wasiojua kuhusu Hizo gati wanadhani kuna zingine zimebaki kifupi jamaa wamechukua Mzizima port yote wamebakiza gati za mafuta tu ambazo huku wahusika saana ni makampuni binafsi pia #TPA NO MORE at mzizima port

•Wameanza kutoa mikataba ya awali wa wafanyakazi hapa maslahi yameongezeka kwa 60%
•Posho ya 40K kwa siku muarabu yeye kaweka 70K per day NEEMA HII
•Muda wa kazi ni masaa 9 tu kwa siku

•Ukijiunga na Muarabu unatolewa kwenye data base ya watumishi wa umma

•Ukikataa Kujiunga na muarabu hakuna uhakika wa kuendelea kubakia U-TPA kwani kuna Ridandasi itapita

•Kwa watakaobaki U-TPA lazima waamishiwe sehemu zingine, DAR NO MORE

•Watakaoenda kwa Muarabu watakuwa na maslahi Mara 4 ya watakaobaki U-TPA

•Muarabu anaanza kutoa mikataba ya awali kwa wafanyakazi wa TPA then baadae ndio atatoa ya kudumu .

•Mkataba wa muarabu una pensheni pia

Kubwa zaidi ni kuwa
HAKUNA MKATABA WA MIAKA 30 UKWELI NI KUWA MUARABU KAICHUKUA JUMLA

Tuelimishanee

BABA CATHE

Prem 96
Hapo kwenye mkataba wa awali ndio kwenye mtego.
 
Back
Top Bottom