econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwanza Kubenea ni mwandishi wa habari hivyo ana maslahi na hiyo kesi ila Kwa nini Clouds wenye maslahi na hiyo kesi hawajafungua kesi mpaka sasa?
Hawajitambui kabisa.
Yani mtu mwingine anakutetea wewe unasema Sina shida.